mke wangu muhuni simtaki, nataka mtoto wangu.....

mke wangu muhuni simtaki, nataka mtoto wangu.....

Kifupi sio rahic kukaa tena kwani yeye kama yeye hana uamuzi wa mambo yake. Mama mkwe ndio anampelekapeleka sana. Na huyo mama alinitamkia kama nimemchoka nimpe talaka yake kwani ndoa za kiislamu hazina kugandana. Pamoja na mambo mabaya aliyonifanyia mtoto wake anashinikiza tuachane

mi unanishangaza kitu ki1.
kutokana na maelezo haya inaonyesha hutakiwi.
ss unahabgaika nn?
huyo mtt wala asikuumize kichwa yupo na mama yake atamlea tu.

we km vp oa tu dini yako inakuruhusu
 
nenda kwa Baba Paroko kwanza kapate ushauri wa kiimani
 
Nimegundua mke wangu anatoka nje miez sita sasa kwa ushahidi wa kuwarecord kwa kutegesha recording kwenye simu yake baada ya kuchoka vitimbwi na kutopewa haki ya ndoa mara kwa mara na kuchelewa kurudi home pia safari nyingi kila weekend. Nikaamua kumtenga chumba baada ya kugombana na pia kutopata msaada kutoka kwa ndugu na wazazi wake kwani cku zote wamekua wako upande wake hata afanye baya gani.

Baada ya kumtenga chumba akaanza kushughulikia uhamisho kwan yeye ni mwalimu wa primary. Nilimihamishia mkoa ninao fanya kazi mimi cha ajabu halmashauri ya jiji imempa uhamisho, na mtoto wangu kamtorosha(ana miaka 6) na kwenda kumuanzisha darasa la kwanza mkoa mwingine wakati tayari nilishamtafutia shule nzuri english medium. Naombeni msaada wa mawazo na SHERIA.

Mwanaume kulalama hivyo ni makosa makubwa!!we mkeo ataanzaje kukunyima tendo??inaonekana hujiamini kama unamsugua mujarab hawez toka na heshima itakuwepo milele!!
 
Duh, ndoa za siku hizi bwana. Yaani hamna siri kabisa. Jamani haya mambo ya kuibiwa mke yalikuwepo toka enzi hizo ndio maana kukawa na msemo wa 'kitanda hakizai haramu'. Kipindi tunakuwa tulikuwa tunasimuliwa kuwa fulani sio mtoto wa mzee mwenye mke lakini anatumia jina la ukoo huo. Na nakumbuka nilishaoneshwa baba zangu wadogo kama 4 hivi ambao babu alizaa na wake za watu na hawatumii jina la uko wetu kwani wanaeleweka ni watoto wa mwenye mke. Sio kwamba zamani wake za watu na waume za watu walikuwa hawatoki nje, ni usiri tu na uvumilivu ulikuwa ukiendelea wakati huo.

hapa mtoa mada anasema mwanamke katoroka kabisa.
mbaya zaidi mama wa mwanamke anasema asimgande mwanae ampe talaka!!
ndo utasema na zamani yalikuwa hivi kaka?
 
Pole sana mkuu kutokana na experience yangu ninashauri options 2.
a. Marafiki zangu wengi walichofanya ni kuacha mtoto kwa mama yake na wao kuendelea ku supply mahitaji. Hii ni kama mama mtu ni a responsible human being. Kama sio una option ifwatayo:
b. Hii sasa itatokana na uwezo na ubavu wako ambao nina mashaka nao. Jamaa angu alibeba mtoto na kumpeleka kwa bibi na babu yake ambao ni wana hela na walimtaka mjukuu! Tatizo linaweza kua kubwa kwa mtoto kama utamchukua ukae naye wewe tu, mwanamke mwingine lazima kwa namna moja au ingine atamnynyapaa mtoto na kufanya bora abaki kwa mama ake.
Kwahio usiwe mbinafsi, mfikirie mtoto kwanza, fikiria ni mazingira yapi atapata malezi bora zaidi!
 
Mke kama mke mpaka kufikia hatua kama hiyo, lazima kuwe na driving forces.

Kama umemkamata kwa ushahidi wa video cameras, kwanini usiende mahakamani ?

Pia, jichunguze na wewe pia, unaweza kuwa umejaa matatizo si haba ndio maana mama watoto kaamua kwenda mbele!
 
halafu anajiita Kipusy....
kipusy mwanamke hata akikuzingua vipi kikubwa anaitwa mkeo!usiku bakora si swala la kuomba mkuu ile ndio ndoa yenyewe mkuu!kama unanyimwa papuchi ujue huyo sio mkeo bali unaishi na mke wa mtu!!
 
hapa mtoa mada anasema mwanamke katoroka kabisa.
mbaya zaidi mama wa mwanamke anasema asimgande mwanae ampe talaka!!
ndo utasema na zamani yalikuwa hivi kaka?

Walitengana vyumba ndo mke kamtoroka. Unajua usipokuwa mwanaume kamili ndo haya mambo ya kuogopa wakwe. Kuna kaka yangu alioa dada aliyedekezwa kwao, alipofika kwa bro akawa hataki kwenda shamba(bro ni mkulima wa viazi). Jamaa alikuwa anamvuta mpaka shamba na kumfundisha namna ya kufanya kazi. Yule dada alikuwa analia na kukimbilia kwao. Jamaa jioni anamfuata na kumtandika mbele ya mama yake. Mama akileta za kuleta jamaa anamchimba beat na yeye. Sasa hivi huyo dada anashukuru jamaa alivyokuwa anamtreat kwani wana maendeleo mazuri na ndie anayesaidia ndugu zake. Huwa anasema kabisa kuwa mama yake alikuwa anampoteza. Wakati mwingine tusilaumu wakwe ila tujilaumu wenyewe kwa kutowaonesha msimamo wetu.
 
Pole sana ndugu Mungu akufanyie wepesi kwenye hlo huyo mkeo amesahau kuwa mchuma janga hula na wakwao!!!???
 
Jamani mtoto duh... jitahidi kutafuta suluu bila kumuathiri mtoto duh...
 
kipusy mbona hujui kusoma alama za nyakati?
 
Last edited by a moderator:
Daah...pole sana,kiukweli mapenz yanauma,me nakushauri fanya mambo yako ila pata muda wa kutosha kuwa karibu na mtoto kumtembelea,kuwa na mawacliano ya karibu hata akiwa naye huko poa, na uzuri dini yako inaruhusu kuwa na mke mwingine OA..kila la kheri.

Ok mkuu
 
Ulimtegeshea nini ili na mimi nilidake hili langu. Maana yamezidi
 
Back
Top Bottom