excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,450
- 17,918
Sio vdeo camera, ni audi conversation
all in all, hata huo ni ushahidi!
ufanyie kazi ya ziada kaka! nashindwa hata kupata majibu ni jinsi gani ulivyokutana nae mpaka mkaoana!
Sio vdeo camera, ni audi conversation
sawa nimekuelewa!lkn inabidi mujenge peace kwaajili ya mwanenu sawa!Fuata nilokushauri juu kama unampenda na kumthamini mwanao!
acha aende na mtoto,anza upya maisha yako,tatizo lako ni kama langu ispokuwa wa kwangu ni malaya huku kaniganda kanichosa sana sana
Siku izi si mnaoa elimu banaa, wanawake wasio na kazi/elimu mnaona vimeo. Hayo ndio matokeo sasa, ila pole vumilia huyo ndio mkeo. Ukioa la7 furugu zinapungua (mawazo yangu tu lkn)
Mtoto ni wangu, yan copytight na mimi, hata nikimsahau ubungo terminal mtu anayenifahamu atamleta hadi om.Yawezekana hata mtoto sio wake. Mtoto ni mali ya mama. Akiamua kusema naye muache aende naye, yakimshinda atatafuta baba halisi wa mtoto na kumkabidhi.
Kweli kaka naona ndio naelekea huko. Wasinge mzuia mtoto nisinge fanya lolote, ila sasa nataka nikaanzishe kesi mahakamanl.... huyu mwanamke nilikutana nae kigoma nikamuoa huko mi nikaamia mkoa mwingine after marriage tu. Nikamfanyia uhamisho nikaa na miezi kumi nikaenda shule. Kuna siku nilikuta msg za mapenzi za mtu mwingine kwenye simu yake lakin nikasamehe. Nimetoka shule sijakaa nae hata mwaka na nusu yakaibuka haya.all in all, hata huo ni ushahidi!
ufanyie kazi ya ziada kaka! nashindwa hata kupata majibu ni jinsi gani ulivyokutana nae mpaka mkaoana!
Kweli kaka naona ndio naelekea huko. Wasinge mzuia mtoto nisinge fanya lolote, ila sasa nataka nikaanzishe kesi mahakamanl.... huyu mwanamke nilikutana nae kigoma nikamuoa huko mi nikaamia mkoa mwingine after marriage tu. Nikamfanyia uhamisho nikaa na miezi kumi nikaenda shule. Kuna siku nilikuta msg za mapenzi za mtu mwingine kwenye simu yake lakin nikasamehe. Nimetoka shule sijakaa nae hata mwaka na nusu yakaibuka haya.
Kivp watu8????
Mpaka sasa yuko lokapu, na kapewa siku saba mtoto awe home kwangu....Wewe hujawah msaliti mkeo?si ajabu wewe ndio zako,mkeo anaonyesha alishachoka,alikua anasubiri sababu ili mtengane,jichunguze wewe,unaweza kua chanzo cha tatizo!mnajua kuwaka mkisalitiwa ilhali nyie ndio zenu,wanawake tunavumilia ila uvumilivu una mwisho,mtu anaamua kutafuta faraja. kwingineeeeeee!na mke kashakuzidi kete kuhamisha mtt,kua mpole tu myamalize
Wewe hujawah msaliti mkeo?si ajabu wewe ndio zako,mkeo anaonyesha alishachoka,alikua anasubiri sababu ili mtengane,jichunguze wewe,unaweza kua chanzo cha tatizo!mnajua kuwaka mkisalitiwa ilhali nyie ndio zenu,wanawake tunavumilia ila uvumilivu una mwisho,mtu anaamua kutafuta faraja. kwingineeeeeee!na mke kashakuzidi kete kuhamisha mtt,kua mpole tu myamalize
Kwani wewe mkeo akigongwa mara ngapi ndio unamuona mhuni?Yaani kagongwa mara moja tu Ndio useme ni mhuni? Watu wengine bhana huu upuuzi wenu msiwe mnauleta humu. Hebu sema, wewe umewagonga wangapi? Sema na ubaya Wako na uzuri WA mkeo....
Kaka vumilia, ngoja wamcharaze huko kwanza akiridhika atakuja tu.... vuta subra!
Hujui wala huelewi. Kashawekwa lock up, kapewa siku saba mtoto awe home kwangu.... mtoto ni wetu sote sio atoroke nae kihuni...