Mke wangu maji mara moja

Mke wangu maji mara moja

Ukiambiwa Ndoa inahitaji uvumiivu ni Pamoja na huo mkuu
 
Jamani nisaidieni,

Huyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia, nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu sana kwangu na mpiganaji sana katika maisha.

Nisaidieni.
Tatizo wanaume wa siku hizi hamuelewi. Mnapenda wanawake wa kusaidiana sana maisha. Hamjui mwanamke hakuumbwa kutafuta pesa. Matokeo yaje ndo hayo. Anakuwa mpiganaji kwa namna yake. Mtasaidiwa sana miaka hii.
 
Hahaaaahhaa!
Jamani hivi hizi mambo ni za kweli huku MMU au story za mazungumzo baada ya habari!
 
Wewe una akili za kimumiani hata peponi huendi huna wivu au ww ni hanithi?kutwa kujionesha una mke kumbe una mkereketwa hahah.wacha wauni wakusaidie wew mshika paja
 
Jamani nisaidieni,

Huyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia, nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu sana kwangu na mpiganaji sana katika maisha.

Nisaidieni.
1474537956922.jpg

Ndio huyu au.....
 
mkeo kila mtu akimgegeda mwisho wa siku ataonekana kama shimo la takataka usife mpumbavu wewe
 
hahahaha kwahyo umeshazoea kumegewa mkuu? na ukimfumania hua unafanyaje unarudi nyumbani tu au unakiwasha na kama unakiwasha maplay boy wanasubiri ukitoka tu wanaingia mzigoni
 
Na hako kaavatar kako..........kama ni halisi,sijui kama hata umeoa...
 
HII USWAZI SIJUI....WE MVUMILIE TU MPENDE MSHAURI AACHE TABIA MBAYA...MKEO HUYO ANAKUJALI HATA AKIWA UCHOCHORONI...UKINIPA NAMBA YAKE NTAMSHAURI PIA AAHE HIYO TABIA
 
Ukiona mtoto kila siku anakibilia kwa majirani kula jua nyumbani ashibi
 
Mwache tu wambane huko vichochoroni kwani imebanduka? si na wewe ukihitaji unapata? kwani ni dawa ya meno whitedent kuwa wanaminya inaisha si iko pale pale tu kila mtu anajisevia kwa muda wake! Hebu tulia kwenye ndoa yako wala usihofu huyo ni mkeo tuuuuuuu
 
Back
Top Bottom