Mke wangu maji mara moja

Mke wangu maji mara moja

Jamani nisaidieni,

Huyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia, nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu sana kwangu na mpiganaji sana katika maisha.

Nisaidieni.
unampaga mechi kali lakini.?
 
We endelea nae tu Wala usimwache ataacha,Harafu chunguza shoo zako za usiku Piga mpaka achubuke atatulia kidogo
 
Ni Kitu Gani Anakosa Kwako Mkuu?

Chakula?

Pesa?

Maji?
 
Watu wengine kabla ya kuwashaur ningekuwa nawalamba makofi kwanza...
Sipendi ujinga mimi
 
Jamani nisaidieni,

Huyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia, nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu sana kwangu na mpiganaji sana katika maisha.

Nisaidieni.
Endelea kumpenda.
 
YAANI JF KUMEKUWA KUBAYAAA JITU LINAAMKA NA UKWASI HATA MSWAKI HALIJAAMSHA LINAWAZA KULETA PUMBA HAPA JF WEWE MLETA UZI ACHA KUPOTEZA MUDA KWA MAMBO YA KIJINGA MKE WAKO UNATUELEZEA SIE UJINGA WENU ILI IWEJE WATRU TUNA MIPANGO YA MAANA WE UNALETA UCHAFU HAPA
 
Kama ni mpole machoni hiyo asili watu wapole lakini kwa vitendo ni moto wa kuotea mbali lakini usimulaumu!
 
Mwanamke akishakua malaya/maji mara moja/kicheche/kisepe basi ujue ni upuuuz hata kama awe mtafutaji vipi, hata hiyo furaha ya pesa mnayotafuta hutaipata, ni mara mia upate mwanamke mvivu ila awe mtulivu na mwenye heshima,
Pia huo unyenyekevu anaokuonesha ni wa kinafiki, kmaa angekua mnyenyekevu kweli basi jata upuuz huo wa kubambiwa vichochoron asingefanya,
TAFAKARI CHUKUA HATUA, usisubir mpaka iwe too late
 
Kama huna maamuzi ya kumtema usimfuatilie mambo yake
 
1474530882997.jpg
 
Back
Top Bottom