Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,479
naomba namba yake nimshauri aache huo utundu. nipm namba yake please.Jamani nisaidieni,
Huyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia, nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu sana kwangu na mpiganaji sana katika maisha.
Nisaidieni.