Mke wangu kapata kazi Mkoani!

Mke wangu kapata kazi Mkoani!

bujaganoni

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
561
Reaction score
453
Habarini wana jamvi!

Ebhana wife kapata kazi Mkoa wa Kagera na kazi ni nzuri, amekaa muda mrefu bila kazi takriban 5 yrs. Lakini kwa sasa ana mtoto mdogo, binafsi si kwamba sipendi akafanye kazi ila naona kama ni mbali sana na nyumbani, Kagera to Dsm ni parefu mno.

Naomba maoni yenu aende ama atulie tu, kwa sasa ni mama wa nyumbani na yuko desperate kweli kupata kazi.

Funguka Mdau, Hapa matusi si pahala pake.
 
Si kwamba siwezi manage, anapata kila kitu kwangu ni vile tu anapenda kufanya kazi, hataki zile za “subiri mume kaenda kutafta”
Kwanza ndoa kama haijafikisha miaka 10, jadilianeni kwanza kuwa muwazi tu kwake and how you feel, kama hauafiki yeye kwenda then jadilianeni jinsi ya kufanya alternative livelihood Ili awe busy.

Muulize kuhusu ujasiriamali na kipi anapenda, and then mjadiliane mnafikaje kwenye hiyo objective.

Sasa hapo ndio act kama kichwa Cha familia Sasa, lead the way with confidence.
 
Kwanza ndoa kama haijafikisha miaka 10, jadilianeni kwanza kuwa muwazi tu kwake and how you feel, kama hauafiki yeye kwenda then jadilianeni jinsi ya kufanya alternative livelihood Ili awe busy.

Muulize kuhusu ujasiriamali na kipi anapenda, and then mjadiliane mnafikaje kwenye hiyo objective.

Sasa hapo ndio act kama kichwa Cha familia Sasa, lead the way with confidence.
Meeen, I like this…

Ni kwamba mpaka naleta huu uzi, tuliongea akasema kama naweza kumruhusu aende kufanya kazi au la, so anasubiri uamzi kutoka kwangu, ndio nilikuwa naangalia possibilities hapa, ndoa haijafika miaka hiyo miaka 10. Nikalileta huku nikiamini kuna watu wanaweza kuwa na experience na hivo vitu.
 
Angalia kama unaweza kuulipa huo mshahara anaoupata mwisho wa mwezi, basi mwache akae tu.

Ila kama huwezi na unaona umuhimu wa hio kazi unauona,

let her go to work...

Halafu kama wasiwasi wako ni kuchapiwa, kumbuka hata hapo ulipo bado kuna nafasi ya kuchapiwa.

kama tatizo ni distance, angalia namna ya kuhamia BK kule mkaishi kwa kula ndizi na senene.

mwisho kabisa,
mkeo akienda huko atachukua.miezi 6 tu akirudi atakua analoanisha godoro balaa😂😂😂
Vyakula vya wahaya vinatengeneza maji mengi sana mwilini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom