Mke wangu kapata bwana Instagram

Mke wangu kapata bwana Instagram

Je umewahi kumweleza au kimwambia juu ya kujisahau kwake katika ndoa au unalalamika tu kwani kama umemwambia akapuuza unahaki ya kumwambia.Kaa na mkeo mweleze na mkumbushe kuwa yeye ni mke wa mtu na anawajibu katika familia yake ikiwemo wewe mmeo na ukiona habadiliki tumia uanaume wako bana vunja hata hiyo simu au mnyang'anye na mpige marufuku kumiliki smart phone asipojirekebisha hapo kazi unayo
 
umemuomba ndoa kakataa? jaribu kumkaribia na kumwonyesha unataka kufanya naye tendo la ndoa umsikie anasemaje
 
Mbali na kudumaza zinaharibu sana mambo mengi

Kwa kifupi simu zimerahisisha sana kwenye kutongoza, usiombe uchungulie kwenye simu ya mwenzio moyo unaweza kukulipuka nakujikuta unaanguka chini
 
Kwa kifupi simu zimerahisisha sana kwenye kutongoza, usiombe uchungulie kwenye simu ya mwenzio moyo unaweza kukulipuka nakujikuta unaanguka chini
Nnavompenda sasa yani bora nisione make ntaumwa sahivi
 
There must be a clear distinction btn a husband and wife. Isipokufaa akili yako utakudhuru ujinga wako.

Wanaume wa siku tumekua na tabia ya kufanya kila kitu kiwe sawa(haki sawa) kwa mwanamke na mwanaume hata akijisikia kufanya chochote afanye tu. In reality, there are issues men must have final and irrevocable decisions.

Wake up my fellow Adam.
 
Ww ukiwa kama mwanamme ndo unaepanga sheria ndani ya nyumba so unaweza kupiasha shelia isemayo kuchezea cm mwisho saa 12 au 10 baada ya hapo makufku kuchezea cm nadhani hii itakusaidia ndug
 
Acha roho mbaya ulitaka asipate? Mbona hampendi maendeleo ya wenzenu? Tafuta na wewe.
 
Back
Top Bottom