Mke wangu kapata bwana Instagram

Mke wangu kapata bwana Instagram

Wanaume wa siku hizi hawawezi kusimama katika nafasi zao Kama wanaume, ndomana wanawake tumewakalia vichwani.
 
Kama Kapata mume aitwaye Instagram wewe muoe Badoo ili muwe sawa
 
wewe ni mume kweli mbona kama mtu tuu kama hamujaoana maana huna say
 
Eeeh Mungu sikia sala hii warejeshe wale wanaume wa zaman waliokua vichwa vya familia na jamii walioheshimiwa kutokana na busara na maadili na uwezo wao kimaamuzi Amen
 
Habari zenu,

Najuta mke wangu kujua haya masimu ya kufuta futa.Yani mwanzo kwa hela yangu nilimnunulia simu hiyo ya kisasa ili aendane na wenzake akaja akaiuza kwani ilikuwa inajizima na istack akarudi kwenye tochi nikaona afadhali tukakaa miezi kadhaa akawa hana simu.

Sasa dada yake akaja akamnunulia simu pana kubwa hapo ndio balaa ilipoanzia yaani amekuwa mgonjwa wa simu yuko instagram kila saa hadi usiku ni huko huko hakuna cha mapenzi wala nini salama labda iishe charge na umeme uwe umekatika.

Nina siku 14 na zaidi hakuna cha mapenzi wala nini akishapika anaingia kwenye simu,mume wake amekuwa simu hasa instagramu.

Sasa nifanyeje?


Hold up, hold up! Where is your authority in your house bro? You have to stamp authority in your house. Tell your wife ukimshika huyo instagram utamharibu sura hadi atashindwa kumaintain eye contact na yeye... Now repeat after me "I WILL STAMP AUTHORITY IN MY HOUSE"
 
Ilianza facebook
mara bbm
mara watsap
sasa instagram

After few years tutakuwa tunaongea vipya vingine

Ndoa nyingi zitayumba hapa,watabaki wenye macho ya Kiroho kuona na kujua madhara ya mitandao. Wenzetu wanatumia kutangaza brands za biashara zao,sisi tunatumia kupotezea muda na kutafuta umbea! Unawezaje kuchat zaidi ya 4hrs wakati uko maskini? Simu yenyewe ya kununuliwa,wake up guys tusiwe watumwa wa mitandao au shetani kakamata ufahamu wenu throu insta?
 
habari zenu,

najuta mke wangu kujua haya masimu ya kufuta futa.yani mwanzo kwa hela yangu nilimnunulia simu hiyo ya kisasa ili aendane na wenzake akaja akaiuza kwani ilikuwa inajizima na istack akarudi kwenye tochi nikaona afadhali tukakaa miezi kadhaa akawa hana simu.

Sasa dada yake akaja akamnunulia simu pana kubwa hapo ndio balaa ilipoanzia yaani amekuwa mgonjwa wa simu yuko instagram kila saa hadi usiku ni huko huko hakuna cha mapenzi wala nini salama labda iishe charge na umeme uwe umekatika.

Nina siku 14 na zaidi hakuna cha mapenzi wala nini akishapika anaingia kwenye simu,mume wake amekuwa simu hasa instagramu.

Sasa nifanyeje?


Hold up, hold up! Where is your authority in your house bro? You have to stamp authority in your house. Tell your wife ukimshika huyo instagram utamharibu sura hadi atashindwa kumaintain eye contact na yeye... Now repeat after me "i will stamp authority in my house"

i will stamp authority in my house
 
Huyo mke hawara beki taraa? Mwanaume mzima unakuja kulalamikia upumbavu na ulofa ulioulea mwenyewe? Unaonekana unalelewa ndiomaana huna sauti kwa wife, unabaki lialia, unataka tukushauri nini ilhali hutoweza kuufanyia kazi ushauri wenyewe? Ushauri unaendana na wewe ni huu, jitahidi kuziharibu au kuziiba simu zake kila atakaponunua au kununuliwa mpaka achoke.
 
Ila kiukweli haya madude aka masmart fone yamewachanganya sana wadada wamekuwa kama vichaa yaani kwakuwa wanapenda umbea na udaku basi huko ndio kila kitu

Sio wadada peke yao, hadi wababa/wanaume nao wamechanganyikiwa. Inakera sana, muda na familia hata huna kila muda simu. Kuna ndoa nazifahamu zimeachana sababu ya simu na social network.
 
Tafadhali huyo ni moja ya matatizo yalioletwa na ccm
Ccm wameshindwa kupambana na ujinga
ccm hawana subira
ccm hawana ustaarabu
ccm kila kitu wanajua
ccm wanaona kila asiyemuelewa haeleweki kumbe wao ndio hawaelewi

kwa hasira tuwaondoe ccm ili kuwapunguza wajinga kama fasols

Mi sio CCM niombe radhi tafadhar
 
Last edited by a moderator:
Kuna mda nawaza hiz simu kubwa zisingekuwepo maana ni kero kwa wengi utakuta mtu anacheka peke yake, ukimwita hasikii hadi umsogeree khaa!
 
Siku hizi wanawake wanajidai wana.haki.sawa ingekuwa zamani ni kichapo tu saa hizi
Hata watoto wana uhuru tofauti na zamani maana enzi hizo hata kuomba pesa ya pen ilikuwa issue
 
Hizi sim bhana, zinasumbua sana watu, inatakiwa kuweka muda maalum wa kuingia kwenye mitandao
 
Back
Top Bottom