Mke wangu kapata bwana Instagram

Mke wangu kapata bwana Instagram

sasa kama mume mwenzio unamjua mbona hutaki kumfumania ?

au uwezo wa kumuacha huna

Hujaelewa hajapata bwana yan ni as if hyo instagram ndio amekua mume,mana jamaa hajaliwi tena kama zaman
 
Hujaelewa hajapata bwana yan ni as if hyo instagram ndio amekua mume,mana jamaa hajaliwi tena kama zaman

Ameelewa, labda wewe niyo hujamwelewa MO11!

Anamaanisha amfumanie mke wake na huyo bwana wake Instagram.
 
Last edited by a moderator:
pole sana mkuu..uwa nawaonea sana huruma watu wanaoteseka kwenye mapnz...nwei my waif wako anatumia jina gani insta?
 
Na wewe tafuta kitu kikuweke busy.
Maisha yenyewe mafupi unataka kujipa stress.
Kila mtu anakuwa busy & happy.
 
Dunia imeota meno, kwa mwendo huu hatufiki. Mungu ingilia kati kunusuru viumbe wako wanapotea, mm wangu yupo bize kwel na cm lakini ubize wote wa kupangusa, anapangusa holy bible asante wife.
 
Ameelewa, labda wewe niyo hujamwelewa MO11!

Anamaanisha amfumanie mke wake na huyo bwana wake Instagram.

na anaposema mume wake amekua simu,
tatzo vyakula unavyokula ndio una IQ ndogo hata sisimiz amekuzidi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu niambie shemejii anatumia jina gani nimtafute,nitamchana aache upumbavu.
 
na anaposema mume wake amekua simu,
tatzo vyakula unavyokula ndio una IQ ndogo hata sisimiz amekuzidi

Tunaongea kitu kimoja mkuu, mimi nimeelewa kama wewe ulivyoelewa, instagram ni app ambayo iko kwenye simu, na ni kweli inapoteza sana muda!

Sasa MO11 alichosema ni kwamba, kama jamaa ameshajua mchepuko wa mke wake ni instagram, basi amfumanie mke na huyo instagram na amshushie kipondo instagram ili aache kumchukulia mke wake!

Hizi ni lugha za fasihi, in other sense ni kwamba kama umeshajua tatizo ni nini, piga marufuku matumizi ya hiyo kitu inayoleta tatizo.

Ninasikitika sana na huu utumiaji wa maneno ya kashfa kwa mtu unayekuwa umeshindwa kuelewa naye, kwa nini usimweleweshe mtu bila kumtusi ndugu? Ukumbuke, tunaishi humu kwa majina ya bandia lakini hisia ni zile zile, tusiifanye JF kuwa sehemu ya kutukanana, mpaka mtu anaogopa kuchangia hoja, matusi waachie kina Mkapa ndugu.
 
Last edited by a moderator:
Tunaongea kitu kimoja mkuu, mimi nimeelewa kama wewe ulivyoelewa, instagram ni app ambayo iko kwenye simu, na ni kweli inapoteza sana muda!

Sasa MO11 alichosema ni kwamba, kama jamaa ameshajua mchepuko wa mke wake ni instagram, basi amfumanie mke na huyo instagram na amshushie kipondo instagram ili aache kumchukulia mke wake!

Hizi ni lugha za fasihi, in other sense ni kwamba kama umeshajua tatizo ni nini, piga marufuku matumizi ya hiyo kitu inayoleta tatizo.

Ninasikitika sana na huu utumiaji wa maneno ya kashfa kwa mtu unayekuwa umeshindwa kuelewa naye, kwa nini usimweleweshe mtu bila kumtusi ndugu? Ukumbuke, tunaishi humu kwa majina ya bandia lakini hisia ni zile zile, tusiifanye JF kuwa sehemu ya kutukanana, mpaka mtu anaogopa kuchangia hoja, matusi waachie kina Mkapa ndugu.

Tafadhali huyo ni moja ya matatizo yalioletwa na ccm
Ccm wameshindwa kupambana na ujinga
ccm hawana subira
ccm hawana ustaarabu
ccm kila kitu wanajua
ccm wanaona kila asiyemuelewa haeleweki kumbe wao ndio hawaelewi

kwa hasira tuwaondoe ccm ili kuwapunguza wajinga kama fasols
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom