UNIQUEMAN1
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 378
- 448
Tuna mtoto mmoja wa kike. Tupo mkoa wa Dodoma.
Jana nimetoka kuchepuka kutokana na mke wangu kutonisikiliza na kujifanya na yeye ni mwanaume ndani ya nyumba.
Cha ajabu baada ya kurudi kutoka kwa huyo dem, kesho yake mke kaniambia ameota ndoto ambayo nipo na binti.
Kaanza kumuelezea hadi jina ili hali hawajuuani.
Kaelezea hadi alivyokuwa amesukwa . Je,huyu mke wangu ni mchawi?
Duuuuh wataalamu wa ndoto njooni tafadhali.
Jana nimetoka kuchepuka kutokana na mke wangu kutonisikiliza na kujifanya na yeye ni mwanaume ndani ya nyumba.
Cha ajabu baada ya kurudi kutoka kwa huyo dem, kesho yake mke kaniambia ameota ndoto ambayo nipo na binti.
Kaanza kumuelezea hadi jina ili hali hawajuuani.
Kaelezea hadi alivyokuwa amesukwa . Je,huyu mke wangu ni mchawi?
Duuuuh wataalamu wa ndoto njooni tafadhali.