Mke wangu kanishangaza

UNIQUEMAN1

JF-Expert Member
Mar 20, 2018
378
448
Tuna mtoto mmoja wa kike. Tupo mkoa wa Dodoma.

Jana nimetoka kuchepuka kutokana na mke wangu kutonisikiliza na kujifanya na yeye ni mwanaume ndani ya nyumba.

Cha ajabu baada ya kurudi kutoka kwa huyo dem, kesho yake mke kaniambia ameota ndoto ambayo nipo na binti.

Kaanza kumuelezea hadi jina ili hali hawajuuani.

Kaelezea hadi alivyokuwa amesukwa . Je,huyu mke wangu ni mchawi?

Duuuuh wataalamu wa ndoto njooni tafadhali.
 
Tuna mtoto mmoja wa kike. Tupo mkoa wa Dodoma.

Jana nimetoka kuchepuka kutokana na mke wangu kutonisikiliza na kujifanya na yeye ni mwanaume ndani ya nyumba.

Cha ajabu baada ya kurudi kutoka kwa huyo dem, kesho yake mke kaniambia ameota ndoto ambayo nipo na binti.

Kaanza kumuelezea hadi jina ili hali hawajuuani.

Kaelezea hadi alivyokuwa amesukwa . Je,huyu mke wangu ni mchawi?

Duuuuh wataalamu wa ndoto njooni tafadhali.
Wewe ndiye uliota ukaongea yote
 
Mkuu unakawaida ya kuongea ukiota?
Tuna mtoto mmoja wa kike. Tupo mkoa wa Dodoma.

Jana nimetoka kuchepuka kutokana na mke wangu kutonisikiliza na kujifanya na yeye ni mwanaume ndani ya nyumba.

Cha ajabu baada ya kurudi kutoka kwa huyo dem, kesho yake mke kaniambia ameota ndoto ambayo nipo na binti.

Kaanza kumuelezea hadi jina ili hali hawajuuani.

Kaelezea hadi alivyokuwa amesukwa . Je,huyu mke wangu ni mchawi?

Duuuuh wataalamu wa ndoto njooni tafadhali.
 
Hahahahahah
Tuna mtoto mmoja wa kike. Tupo mkoa wa Dodoma.

Jana nimetoka kuchepuka kutokana na mke wangu kutonisikiliza na kujifanya na yeye ni mwanaume ndani ya nyumba.

Cha ajabu baada ya kurudi kutoka kwa huyo dem, kesho yake mke kaniambia ameota ndoto ambayo nipo na binti.

Kaanza kumuelezea hadi jina ili hali hawajuuani.

Kaelezea hadi alivyokuwa amesukwa . Je,huyu mke wangu ni mchawi?

Duuuuh wataalamu wa ndoto njooni tafadhali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom