Muulize hajaota na sababu za wewe kuchepuka..
Kama hajaota mwambie ndoto yakr haijatimka akaote tena.
Ila mkuu nawe acha kuchepuka, michepuko sio dili.
Kuchepuka sio suluhisho
Umejaribu kumueleza mwenzio juu ya yale yanayokukera, mueleze kwanza ukiona hakuelewi, piga red card vuta yule anaekuelewa na kukuheshimu
Binafsi sihangaiki na michepuko, kuhudumia nyumba nyingi sitaki, mke wangu ndio anaestahiki kula mpaka senti yangu, sasa km anazingua huyo hafai kula vyako, timua lete mali sahihi kwa afya ya moyo wako