Tuna mtoto mmoja wa kike. Tupo mkoa wa Dodoma.
Jana nimetoka kuchepuka kutokana na mke wangu kutonisikiliza na kujifanya na yeye ni mwanaume ndani ya nyumba.
Cha ajabu baada ya kurudi kutoka kwa huyo dem, kesho yake mke kaniambia ameota ndoto ambayo nipo na binti.
Kaanza kumuelezea hadi jina ili hali hawajuuani.
Kaelezea hadi alivyokuwa amesukwa . Je,huyu mke wangu ni mchawi?
Duuuuh wataalamu wa ndoto njooni tafadhali.
Atakua ana mashetani huyo.prove me wrong...
Dawa ya mwanamke mkorofi Ni kumuongezea mwenzieswali la msingi ni je?,unahisi suluhisho la mgogoro ni wewe kuchepuka?,be a gentleman
Kwa hiyo unakubaliana kuwa mke mmoja hamtoshelezi mwanaume?Lazma muelewe kwamba cc wanawake hatuwezi kuhimili mitombano kila siku at least mpitishie siku tatu ata nne... Sex kila cku inaboa....
Huyo anatrack simu yako mkeo kakuzidi akili .