Mke wangu kanifokea sana

Mke wangu kanifokea sana

Joined
Nov 3, 2016
Posts
55
Reaction score
53
Wasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.

Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.

Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?
 
Wasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.

Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.

Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?
Swala hapa si osigelo kukufulia taulo...

Hapa hoja ni mwanaume kufokewa na mkewe...

Inawezekaje??
 
Wasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.

Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.

Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?
kwa hyo ukajiunga JF kwa sababu una shida,au ni lD mpya?huna washauri hadi upate shida unakuja huku?nakuomba tumia lD yako ya zamani tukushauri,mbona mi napigwa kabisa na sijali na sibadilishi lD?Taulo ulilitumia kwa mda gani hadi lifuliwe?na iweje mkeo arudi asubuhi wakati beki 3 anafua?au huwa mnafua jioni?
 
Kama yeye ndie anakufulia nguo zako, na ulikuwa na taulo lingine basi ungeliweka limsubiri.

Ila kama ilikuwa taulo moja tu ndio unasubiri kauka nikuvae, mueleweshe hukuweza kutumia taulo chafu. hapo mwambie unahitaji taulo lingine hata uwe na matatu au zaidi sawa tu.

Ila labda pia ana masharti ya kuzingatia.
 
Pole sana uncle ila hapa hakuna majibu stahiki
 
Mkuu nahisi una ulemavu wa mikono na miguu, nilitegemea ungeandika nimekata makofi na mitama wife baada ya kunifokea.
 
Nimeshakataa kufokewa na mke, siwezi kumwacha akifanya hivo...afoke! atajilaum haki ya Mungu

Wasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.

Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.

Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?
 
Wasalaam wanajukwaa mimi ni mgeni humu Jf.

Naomeni ushauri mke wangu alisafir kikaz akamuacha beki tatu nyumbani. Siku moja nikampa taulo langu anisaidie kulifua mimi niko bze na mambo ya kikaz narud usiku. Siku wife anarud akamkuta bek tatu anafua taulo langu niliporud kutoka job wife alinifokea sana kumpa bek tatu kufua taulo langu.

Wana jf nipeni maoni yenu je nilifanya kosa kumpa beki tatu kufua taulo langu?
Naww malizia hasira zako kwa beki3,ashakutengenezea mazingira.
 
Back
Top Bottom