Na ESOPOHekaya za abunuasi hizi
No namna, apambane tu na hali yake....Umemegewa sio?!! Jikaze....
Yaani wanakwaza kweli kweli,Nimesoma nikiwa na huzuni sana nimefika kati nikagundua ni chai, nimekasirika. Hivi hii tabia ya kufanya tupoteze nguvu za kushauri bila sababu za msingi, mmeitoa wapi?
Nakupendaga unavyoimbaga nyimbo za zaman kumbe na hizi waziweza?Kuchapiwa ni siri ya ndani, cha muhimu badili simu ya mkeo mpe line mpya. Eneo la biashara pia alibadili maana kama mkeo alikuwa anauza vitafuniio jamaa wa benki alinogewa na vitafuniio hadi akataka kuonja vya ndani vimeungwaje.
Shida tuu,kama mkeo alipewa shoo ya kibabe ya malipo ya shilingi laki 8, hatomkumbuka jamaa siku ukimuudhi au kumkera kumbuka alimzungusha sana.
Pole kwa majanga pia mpe pole bi' mkubwa.
Ila itabaki kuwa: KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI.
Enyi wanaume wapendeni wake zenu na kaani nao kw akili!!
kuna siri kubwa ipo hapa kwenye haya maneno!!
Nakupendaga unavyoimbaga nyimbo za zaman kumbe na hizi waziweza?
Haiwezi kuwa siri ya ndani