Pumbavu zako unataka kumuacha wakati alikuwa anamsaidia mama yako, ukimuacha nunua ile midoli inayouzwaga unalifungia ndani linakuwa la peke yako, siku nyingine ukileta hadithi za abunwasi ,alfu lelaa hulelaa, esopooo, ngoswe penzi kitovu cha uzembe, mfalme juha, tuna..........., dada zako woteee tunaaa........, na ripoti uipeleke ukweni umemuacha mkeo kwasababu alikusaliti ili ipatikane laki nane kwaajili ya kutibiwa mama yako. Ila siku nyingine ukidanganya punguza uongo hakuna wa kuhonga lakinane sasa hivi wa kupiga show game moja kisha imetoka labla kama hiyo papuchi ina Bluetooth, wifi, memory card na AC