Mke wangu kaliwa uroda

Mke wangu kaliwa uroda

Kama ni wa matombo mkuu..uliza vizuri, wajomba ndio hufungua blister, mke akifanya ungese utasikia mjomba ndio kila kitu, yaani ukiona wajomba wanajisogeza katika hiyo kesi yako, ujue yupo mmoja kala
Hii sijawahi isikia ha ha ha!
 
Kama una busara msamehe ndg kwa sababu unaweza muacha halaf kesho ukaoa mwingine ambaye atakuja kuwa malaya zaid ya huyo! Ataliwa bure bora huyo ni kwa kuokoa maisha ya mama! Halaf jiulize je wewe haujawah kumsaliti? Kama ulishawah basi samehe! Huyo mwanamke ukimsamehe nakuapia atakupenda na kukuheshim milele ndg yangu! Tafadhali sana usimuache
 
..chai nyingine bwana " Mkeo aliwe ujue halafu upate confidence za kumpakia mpaka kwenye boda boda na kuendesha chombo cha Moto thubutuuuu " Huyo atakuwa sio mkeo itakuwa umemkodisha mkuu "..

by the way kama ulipata ujasiri wakumpakia kwenye boda boda na kuiendesha pasipo kupata madhara" Basi unaweza hata kuishi nae ijapo kuwa amekusaliti " mrejeshe tu nyumbani muendelee na Maisha
 
Hapaswi kusamehewa. Kama ni hizo fadhila tafuta njia ya kumlipa. Utajuaje kama ametoka na magonjwa huko.

Msaliti hasamehiwi, piga chini maisha yaendelee
 
Pumbavu zako unataka kumuacha wakati alikuwa anamsaidia mama yako, ukimuacha nunua ile midoli inayouzwaga unalifungia ndani linakuwa la peke yako, siku nyingine ukileta hadithi za abunwasi ,alfu lelaa hulelaa, esopooo, ngoswe penzi kitovu cha uzembe, mfalme juha, tuna..........., dada zako woteee tunaaa........, na ripoti uipeleke ukweni umemuacha mkeo kwasababu alikusaliti ili ipatikane laki nane kwaajili ya kutibiwa mama yako. Ila siku nyingine ukidanganya punguza uongo hakuna wa kuhonga lakinane sasa hivi wa kupiga show game moja kisha imetoka labla kama hiyo papuchi ina Bluetooth, wifi, memory card na AC
 
Jiulize pia katika maisha yako yote na wewe umeshawahi KUMSALITI AU BADO??
kama umeshawahi basi juwa ni mapungufu ya kila mtu msahau maisha yaendelee na kama ni kweli isue cyo ya kutunga basi samehe .
 
Habari gani wana jf kwa kifupi mimi ni dereva bodaboda kama unavyotambua kazi zetu zina changamoto.Nina mteja wangu anafanya kazi benki Fulani hapa dar-es-salaam jamaa huyu ni kicheche wa kufa mtu alinipenda sana kwa sababu sijawai kuwatongoza mademu wakati nawapeleke na kuwarudisha tofout na madereva wa BODABODA wengine ambao alikiwa anawatumia
Mkasa huko hivi mwaka Jana mama yangu aliugua sana ilihitajika laki nane kwa ajili ya matibabu Mimi Nina Dada zangu watatu ambao hawakujali kumguuza mama mke wangu alikuwa na mtaji wake alitumia kumtibu mama yangu mpk ukafu shida kuipata hiyo laki nane ili afanyiwe uperesheni mke wangu aliniambia kuwa ataenda kukopa vicoba nilikubaliana naye alitoka mchana kwa ajili ya kwenda kukopa huku mimi nikiendelea na Boda ilivyofika SAA Tisa na nusu mchana boss wa benki alinipigia simu nimfate Rambo guest pale manzese nikamchukue mdada nimpeleke kwao wkt naongea naye kwenye simu nilimsikia huyu Dada analalamika amemsaliti mumeo kWa ajili ya shida nilifunga safar mpk guest sikuamini alikuwa ni mke wangu alivyoniona alishituka nikamuwai harakaharaka wewe twende nikupeleke yule boss alinisisitiza huyu ni mke wa mtu mpeleke haraka kwani amemuangaisha sana mke wangu alipanda bila hiyana maan sisi tunaishi magomeni tulivyofika tu agerntina aliniambia nisimamishe pikipiki alishuka samahani najua jinsi gani umeumia alipanda gari ya mwendo kasi za kwenda post nilienda nyumbani nakimfungashia vitu vyake siku hyo hakurudi alirudi kesho yake
Alipofika alianza kulia sana nilikuwa na hasira nilimwambia achukue begi lake nilimpeka mpk ubungo akapanda basi nakuondoka kwenda kwao matombo morogoro alikaa siku mbili nakunitumia SMS ilikuwa inasema.hivi

"Pole sana najua umeumia sana mm nimeumia zaidi zaidi yako nimeuza mwili wangu kwa ajili ya mama yako ila Dada zako hawakujali hilo usiku na mchana wako kwenye madisco unatambua mtaji wangu ulikufa kWa ajili ya mama yako unatambua siku ulivyonichukua guest njian nilishuka nilienda hospital kwa ajili ya kulipa matibabu ya mama yako nilibakiwa na elfu 25 tu ambyo nilitumia kwa ajili ya nauli kuja huku kwenda mama yako ni mama yangu samahan sana kwa kukuumiza nilifanya hvyo mama yako apate matibabu naomb nikuambie Ukweli tangu tuishi sijawi kukusaliti ile ilikuwa ni Mara ya kwanza kutokan nilitumia kila njia ya kupata pesa ya matibabu ilishindikana nakuomba sana unisamehe kwa ilo mimi mama mtoto wako angel naomba ufikiliye kwa hilo "

Je wa jf nimsahehe au ?

IMG_0330.JPG
 
Msamehe mkuu, ikimsamehe wewe hatakuwa na hatia mbele za Mungu.
 
Kwanza alikua Na mahusiano nae kabla au??? Maana mama yako kaumwa yeye kachangia hyo hela. ... Inamana alikua nae kwenye mahusiano tangu mda2ila ndo akaamua kutumia njia hiyo kumsaidia mama ako
 
Ukifanya urafiki na chui wakati unafuga
mbuzi uwe na uhakika siku moja
utalia machozi.
Ningekuwa mimi huyo mke wangu ningemsamehe.
 
Kaka wewe hujawahi kuwamega wateja wako
wanaokuwa na shida ya nauli?
jijibu mwenyewe,ukikuta jibu ni ndio
basi maumivu uliyoyahisi moyoni
ndo hayo hayo waume zao huyahisi.
jikaze.
 
Back
Top Bottom