Mke wangu kabadilika sana.....

Mke wangu kabadilika sana.....

Pole sana,hiyo ndo ndoa,ina mazuri na magumu la msingi kaeni chini mzungumze juu ya viapo vyenu vya ndoa na utii wenu ktk shida na raha,mkumbushe maisha ya amani na upendo ndo msingi wa ndoa,mungu atakusaidia mtaishi maisha ya upendo na furaha jipe imani na muombee wenda ni stress tu.
 
mbona wewe kama mjanjamjanja sana?? embu kamfungukie kama ulivyotufungukia sisi, haipendezi kidume kunung'unika pembeni.
 
Last edited by a moderator:
Mtwange talaka mkuu. Acha kulea nyani utavuna mabua. Mpe uhuru akakae kwao ili awe ananuna vizuri au awe na furaha maana inaonekana ww ndio unamnyima amani. Mtwange talaka mkuu.

Talaka sio suluhu hapa unasikia upande mmoja ukute wife nae ana yake the best thing wacomunicate
 
Kama hayo yanatosha kuacha mke basi utaacha kila siku!

Na akishaanza tabia ya kuacha kila siku tutaskia na huyu naye mwingine namuacha mkeo si anampenda akae naye chini waongee usikute amepata habari wakati yupo safarini jamaa alikuwa anachepuka
 
Kabadilika nini?? Hebu funguka mkuu!!

yupo tofauti na mwanzo kabisa....yuko totally different kabla ya kuondoka maisha yalikua ya amani,Alikua hana kiburi wala dharau....tangia arudi hajawahi kupika hata cku moja ukimuuliza Vp full mxiuuu halafu unamuachia pesa ya kutosha tu,Yaani Majanga,sasa hivi kila cku milo mitatu yote hotelini,wala Sina raha ya mke tenaaaaa,hata salam imeyeyuka hakusalimii,ukimsalimia anapoteza,game anapoteza...na mengine kibaoooo....
 
Umeshamuuliza kwanini kabadilika? Na kama ulishamuuliza majibu yake yalikuaje?Jaribu kumaliza tofauti zenu wenyewe kwanza umu jukwaani kuwe hatia ya mwisho( kama yameshindikana).
 
Umeshamuuliza kwanini kabadilika? Na kama ulishamuuliza majibu yake yalikuaje?Jaribu kumaliza tofauti zenu wenyewe kwanza umu jukwaani kuwe hatia ya mwisho( kama yameshindikana).

anasema mbona yuko sawa,hata majirani zake kawapotezea.....
 
yupo tofauti na mwanzo kabisa....yuko totally different kabla ya kuondoka maisha yalikua ya amani,Alikua hana kiburi wala dharau....tangia arudi hajawahi kupika hata cku moja ukimuuliza Vp full mxiuuu halafu unamuachia pesa ya kutosha tu,Yaani Majanga,sasa hivi kila cku milo mitatu yote hotelini,wala Sina raha ya mke tenaaaaa,hata salam imeyeyuka hakusalimii,ukimsalimia anapoteza,game anapoteza...na mengine kibaoooo....

That's too bad,mpka unaamua kula hotel bila kutaka kujua mwenzio kabadilika kwa sababu zipi?Sasa wewe ndo unakiburi kilichokithiri.
 
Back
Top Bottom