Mke wangu kabadilika sana.....

Mke wangu kabadilika sana.....

That's too bad,mpka unaamua kula hotel bila kutaka kujua mwenzio kabadilika kwa sababu zipi?Sasa wewe ndo unakiburi kilichokithiri.

Umeonaa eeeh? jamani wanaume wengine mkoje? mnaaibisha jinsia zenu,nachukia kweli mwanaume asiyejua kusimamia wajibu wake, eti wewe mkabasia umeacha hela nyumbani unarudi hakuna chakula wala hupewi sababu yoyotwe ya kwanini chakula hamna,hivi utakaa kimya kweli?
 
Last edited by a moderator:
Umeonaa eeeh? jamani wanaume wengine mkoje? mnaaibisha jinsia zenu,nachukia kweli mwanaume asiyejua kusimamia wajibu wake, eti wewe mkabasia umeacha hela nyumbani unarudi hakuna chakula wala hupewi sababu yoyotwe ya kwanini chakula hamna,hivi utakaa kimya kweli?

sasa ukimuuliza Vp mbona kweupe,mara hajibu,mara kachoka,nmemwambia mpaka basi..nmeongea na ndugu zake nao hawanielewi....huyu anakitu anaficha nyuma ya pazia.......Sasa hapa nnachofikiria ni kibuti.... kama spare tyre Sina..,pesa nampa naambulia mxiuuu,kumpiga Siwezi because Sina moyo huo.
 
Last edited by a moderator:
hamna lingine hapo....huko kwao kakutana na jamaa aliyemzindua aka aliyembikili!!! huna chako hapo man!!!
 
wife wangu akiwa anaenda kwao ntakuwa namfunga kifaa cha kumtrace!!! na akikitoa tu mwilini ndoa inaishia hapo!!! no excuse!!!!
 
Mi nafikiri ana wazazi wake. Jaribu kuwaeleza hali ilivyo. Sina uhakika nduguze uliongea nao ni akina nani kwake. Wale walokipa mke ndo ongea nao. Kwasababu hata majirani kwachunia isije kuwa psychatric case. Hapo itabidi upate consultation kwa Dr.
 
Umeonaa eeeh? jamani wanaume wengine mkoje? mnaaibisha jinsia zenu,nachukia kweli mwanaume asiyejua kusimamia wajibu wake, eti wewe mkabasia umeacha hela nyumbani unarudi hakuna chakula wala hupewi sababu yoyotwe ya kwanini chakula hamna,hivi utakaa kimya kweli?

Hapo ndio wanapokosea, ukirudi nyumbani chochote kile ambacho hakipo sawa lazima uulize.Badala yake ye anakimbilia hotelini.Kwa mana nyingine hayo mabadiliko ya mkwe hayamgusi hata mshipa mmoja.Siku ikitokea gafla hotel zimefungwa cjui ndo ataombwa kupikiwa.
 
Last edited by a moderator:
sasa ukimuuliza Vp mbona kweupe,mara hajibu,mara kachoka,nmemwambia mpaka basi..nmeongea na ndugu zake nao hawanielewi....huyu anakitu anaficha nyuma ya pazia.......Sasa hapa nnachofikiria ni kibuti.... kama spare tyre Sina..,pesa nampa naambulia mxiuuu,kumpiga Siwezi because Sina moyo huo.

wewe na mke wako mna kiburi cha asili,siamini na sitaki kuamini kabisa unamuuliza anakaa kimya na wewe una kaa kimya? Come on be a man bwana!! Ulikuwa mdhaifu toka mwanzo ndo maana anakuletea ujinga huo, kuwa mwanaume bwana,mchepuko siyo solution,ukimpa advertise moja tu mbona atakaa sawa huyo.
 
Kaa nae umwambie ya moyoni muone tatizo ni nini maana talaka si solution na ukizingatia tayari mna mtoto
 
Mtwange talaka mkuu. Acha kulea nyani utavuna mabua. Mpe uhuru akakae kwao ili awe ananuna vizuri au awe na furaha maana inaonekana ww ndio unamnyima amani. Mtwange talaka mkuu.

eh jaman mshauri mwanaume mwenzio,vibaya hivo
 
Ndugu,hapo kuna walakini,na huu walakini ni dhahiri kwamba kuna jambo amezungumza na ndugu zake huko kwao,aweza kuwa mama au ndugu wa karibu amejadili nao kuhusu ndoa na akapewa aina ya ushauri ambao si sahihi,sasa cha kufanya,ongea na mkeo kwa kirefu sana,tena zungumza nae kwa upole na kwa busara,tafuta muda muafaka nenda nae mbali na nyumbani,nina uhakika atakueleza,na ukishajua tatizo nadhani utaweza kudanya maamuzi yaliyo bora

All the best
 
Back
Top Bottom