Mke wangu hunitega na kujilengesha

Mke wangu hunitega na kujilengesha

chakufia nini

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2015
Posts
692
Reaction score
456
Wadau naamini mko poa,

Tangu uchumba, ndoa na hadi sasa ni miaka kadhaa na watoto juu, mke wangu hajawai kuniomba unyumba kwa maneno, huwa ananitega na kujilengesha kiasi kwamba mi ndo inabidi nitambue kuwa waifu ananihitaji.

Yani anaweza kunivalia kimtego flani hii, au kukaa hivi au vile ili mradi tu kutengeneza mazingira ya mimi kutambua ananihitaji hivi wanamme wenzangu wenye wake huwa nanyi pia mnakutana na hali hii?

Je, ni kawaida bila mwenza wako kukuomba kwa maneno?
 
Hivi hukusoma communication na kuambiwa kuwa 'body language' inabeba ujumbe kwa sehemu kubwa kuliko 'words'? Sio mkeo tu bali ni kawaida ya wanawake walio wengi?

ni kweli mkuu,ila nilitamani sana hata siku moja anitamkie kwa maneno
 
Back
Top Bottom