Mke wangu hataki wageni

Mke wangu hataki wageni

tunapendana sana ila mkee wa jamaa hajiamini tena ni mchoyo anazani mjamzito atamaliza chakula. Tena baada ya kujifungu atamlisha ugari na makande mpaka akome so wajiongeze.

Hapo sio uchoyo ndugu. Kukaa na mjamzito/ mzazi ambaye hakuhusu ni ngumu sana. Huyo mke yupo sawa kukataa. Na pia inatia shaka unaweza letewa mke mwenzi a.k.a hawara wa mumeo umuhudumie. Wanaume wengine makatili sana. Namuungakono mke wa jamaa kukataa kulea mjamzito
 
Ntubuka umempa ushauri mzuri sana jamaa.kukaa na mjamzito c shughuli rahisi na sio km jamaa eti anaendeshwa na mkewe mi nakataa ila alichokosea jamaa alimjibu fasta jamaa ake bila kumshirikisha mke wake kwanza.sawa mwanaume ni kichwa cha family ila kukaa na mjamzito sio kitu rahisi.
 
Asprin unakosea.yaani wakwe wapo na ndo jukumu lao sihuyo mama.huyo rafiki aje nae hajielewi
 
Unaposema mkeo hapendi wageni unatumia kigezo hicho cha kukataa mjamzito? Au huwa unakataa na wengine?? Usimlazimishie majukumu yasiyomuhusu!! Kama unataka kumridhisha mshikaji wako pangishia hao wageni gest karibu na Hosp!! Ila ujue jukumu unalotaka kujibebesha ni kubwa sana!! Kwenye kujifungua kuna mambo mengi mazito!! Sitaki kuyataja itakutisha ila mkeo mweke mbali na hili na usimuhukumu!! Yupo sahihi kabisa vile haukumshirikisha tangu mwanzo

Mwaga hayo majukumu ya kutisha, wengine tunataka kujifunza hayo?
 
Wakuu,

Kisa chenyewe ni hiki;

Mwenzenu mke wangu hasomeki. Mimi nina rafiki yangu tangu enzi hizo tuko primary. Huyu jamaa yangu, binti yake kaolewa na sasa ni mjamzito. Kama mnavyojua ujauzito wa mtoto wake wa kwanza huyu rafiki yangu kapagawa kushinda Mkwe wake.

Wanaishi bush, sasa ameniomba binti take aje akae kwangu ili ajisubilishe kujifungua katika hospital nzuri town.Ombi lake lilikuwa la maongezi kwa njia ya simu, mimi kwa haraka haraka bila kumshtua/kumwambia mke wangu nikakubàli.

Nilipofika nyumbani nikamweleza ujio wa wageni hawa. Aisee sikutegemea, mke wangu aliwaka kama Mbogo, na kuanza kuniambia wewe mimba unaijua?

Akakomaa kuwa hataki kuwaona hapa.

Sasa wakuu, wenye wapenzi hii issue ni i handle namna gani? Manake jamaa nimeshamuahidi, sasa kumwambia asije naona soo.

Nipeni mawazo wandugu

Duh pole mkuu
 
Wakuu,

Kisa chenyewe ni hiki;

Mwenzenu mke wangu hasomeki. Mimi nina rafiki yangu tangu enzi hizo tuko primary. Huyu jamaa yangu, binti yake kaolewa na sasa ni mjamzito. Kama mnavyojua ujauzito wa mtoto wake wa kwanza huyu rafiki yangu kapagawa kushinda Mkwe wake.

Wanaishi bush, sasa ameniomba binti take aje akae kwangu ili ajisubilishe kujifungua katika hospital nzuri town.Ombi lake lilikuwa la maongezi kwa njia ya simu, mimi kwa haraka haraka bila kumshtua/kumwambia mke wangu nikakubàli.

Nilipofika nyumbani nikamweleza ujio wa wageni hawa. Aisee sikutegemea, mke wangu aliwaka kama Mbogo, na kuanza kuniambia wewe mimba unaijua?

Akakomaa kuwa hataki kuwaona hapa.

Sasa wakuu, wenye wapenzi hii issue ni i handle namna gani? Manake jamaa nimeshamuahidi, sasa kumwambia asije naona soo.

Nipeni mawazo wandugu
Msikilize mkeo...
 
Ile shughuli ya kulea mzazi inatakiwa atakayemlea na kuwahudumia ndiyo akubali maana inataka moyo.
 
Wanawake wanapenda tabia ya kupend ndugu zake na ndo maana utakuta nyumba nyingi zina ndugu wa mke.Nashangaa kama utakuwa hulijui hili
 
wee ulichofurahia harakaharaka mke WA rfk yako aje ajifungulie kwako nn? Una namna Na mke WA rfk yako.
 
we mkeo ana mimba afu unamletea wageni je ni mda gani atapumzika, we waambie hao wageni kuwa mmepata dhalula ya ghafla mnasafiri mnaenda ukweni kwa mkeo na hamjui itachukua nda gani hivyo msije.
 
Hata mi nisingekubali,akianza kuugua nani aanze kuhangaika?akiumwa uchungu kumpeleka hospital,kupeleka chakula hospital,akijifungua kumpikia Mara kumfulia khaaa,aende kwa wakwe zake au ndugu zake,siku hizi watu tupo busy,mkeo yupo sahihi
au kama anakuja aje na msichana wa kazi kabisa wa kukesha nae hospitali
 
hujamshirikisha toka mwanzo, nyumba ni ya wawili.... Mgeni wa siku moja haina tatizo, lakini mgeni wa kuja kukaa daah,
Lakini Jitahidi kuwa mkorofi, Wanaume tunapaswa kuwa wapole kiasi na wakorofi kiasi kuleta heshima, siyo kila anachosema mkeo unaitikia tuu...hapana. Yashanitokea, unakuta mwanamke anasema kabisa baba fulani ni mpole mpaka anakera...Onyesha msimamo.

ndio maana mke kakataa kwani anajua hizi pilika pilika Ni shida,yeye mme atakua hafanyi hizo kazi,mke ndio itakua shughuli,kwa kweli hata mi siwezi kufua dam ya mtu au nguo alizotoka kujifungulia afue mwenyewe ,na alijiendekeza nguo hizo angeweza kufua mwenyewe Kwan mikono ilikua inamuuma?
 
Jiandae kumkanda maji akishajifungua.... na kumsaidia mzazi...kumpikia na kumfulia

au aende na mtu WA kumsaidia kabisa sio mke ageuke housegirl,nishaona watu wanakuja kujifungua kwa watu akifika kila kitu apewe Hana pesa ya matumizi,hata ya usafiri kwenda hospital Hana ,mke huyo kachomoa Ana akili kama zangu
 
Ukifanya maamuzi magumu kujifanya ulazimishe waje, yatayokuja kutokea ucje kuomba ushaur hapa tn. Wanawake wacpopenda jambo na kutaka kulilazimisha atakufanyia kituko uchoke ww hadi utajuta kilichokufanya kutumia mabavu n nin
 
Back
Top Bottom