BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Kuna binadamu hawana aibu.....au aende na mtu WA kumsaidia kabisa sio mke ageuke housegirl,nishaona watu wanakuja kujifungua kwa watu akifika kila kitu apewe Hana pesa ya matumizi,hata ya usafiri kwenda hospital Hana ,mke huyo kachomoa Ana akili kama zangu
Hadi pesa ya matumizi
Pyeeeee