Mke wangu hanitaki

Inauma kuskia mwanaume mwenzetu amefikia hatua hiyo ya kutetereshwa na mwanamke, ila tumshauri tu kwa kweli. Yaani unakuta mke wako anatongozwa ukauuliza anakuletea kibesi?? duh noma sana
Man huyu bwana bado yuko kwenye hatua za ukuaji kuelekea uanaume so lazima vitu kama hivi vimuumize mpaka hapo atakapo pata kukuwa na kukubali ...

Kwa ushauri tu ili asiendelee kuumia. Afanye maamuzi magumu, sometimes mwanamke akikuona lege lege anakusumbua ... lakin ukiwa na misimamo uako hadhubutu kukuchezea.
 
That is fuked up shit. Yaan mwanamke hana heshima kabisa. Na anafanya hivyo makusudi kabisa akijua kabisa jamaa hana usemi kwake.

Its time that guy afanye maamuzi now or moaka huyo mwanamke atakapo mletea mwaume mwingine ndani.
 
Emtee anakwambia "If she tripping leave the b.itch alone"
 
Achana naye. Kwani wanawake wamekwisha?
 
dah, mshkaji wangu we boya sana, yaan mwanamke mpaka anafikia kukuambia muachane basi anapakuliwa kinyama mtaani, yaan yeye anaposema muachane wewe usiongee fanya kwa vitendo, maana sometimes hawa viumbe nguo nyingi ukifanya nao ligi anakuaibisha
 
Masuala mengine mimi hata nashindwa kuwashauri.

Ila sawa bana,wenda mwanzo aliyaficha makucha yake ila sasa ndo anayatoa.


Embu kwanza kua Mwanamme ,mwenye Maamuzi ya Kiume.....ikishindikana ndo uje humu kuomba ushauri.
 
Mm na mtizamo tofauti hapa...

Mwanamke kutongozwa ni lazima, na ni vigumu kucontrol, kwahiyo muamin kweli.

Kuhusu kumkanya jambo fulan anakimbilia kusema muachane, inawezekana kachoka na tabia zako [irrational decision] , au unakuwa unamkandamiza sana na kukosa haki zake kibinadamu...

Ungetoa mfano wa nn hasa ulimkanya akasema muachane , ingekuwa vema..
 
Kwanza kabisa kama mwanaume wa ukweli Fanya maamuzi magumu,achana nae Mali na vinginevyo vinatafutwa na MTU ni utu
 
That is fuked up shit. Yaan mwanamke hana heshima kabisa. Na anafanya hivyo makusudi kabisa akijua kabisa jamaa hana usemi kwake.

Its time that guy afanye maamuzi now or moaka huyo mwanamke atakapo mletea mwaume mwingine ndani.
Simwambii tena aisee as I had once told him
 
Nakazia
 
kuna shida hapo mkuu... hebu tuambie wasifu wa mke na mazingira mliyooana ilikuwaje tukusaidie..!!!
Huna hata sababu za kuuliza ..majibu yapo tena mepesi tu mkuu.."" Huyo anachapiwa tena anaye mchapia kamfanya mkewe amuone yeye ambaye ndiye mume wake " silolote sio chochote ....daaahh mwanamke akikwambia tuachane Fanya hima kutekeleza hilo "" LA sivyo itakula kwako "" ...mpaka ukiona anatamka maeneno fahamu kuwa haupo moyoni mwake kabisaaaaaa
 
hahahah...mamaee ungempiga hata makofi mawili akili imkae sawa kidogo
 
Hupendwi halafu hujijui kama haupendwi mkuu pole sana
anajua sana kuwa hapendwi ..sema ndio vile " Jamaa anajiuliza akulimuacha atapata wapi tena mke mwingine "" usikute huyo aliyenaye alitongozewaga "" na washikaji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…