Mke wangu hana nidhamu?


Hii imenivhekesha, sijui kwakuwa sijazoea kunyenyekewa.
Kwa upande wangu sitapenda kuwa na mke ambaye ni too innocent. Aniletee maji ya kunywa wakati ananikabidhi apige goti, sijui akiongea nami awe kama yuko madhabahuni anatubu kwa kweli nahisi nitakuwa nijihisi kama ananiogopa sana.
Mimi napenda mke/mpenzi ambaye yuko kawaida nikiwepo akinipelekea maji bafuni aniambie kwa lugha yoyote ili mradi siyo tusi..
 
we Nonda unataka mwenzio uanaume wake upungue? Hujui wanaume wanalelewz kama watoto????????

Anatakiwa amwoneshe mfano mke wake. Mke atajifunza nidhamu.Mke akiwa na nidhamu uanamume wa bwana snipper utaongezeka, hautapungua.
 
mnapenda mno kutukuzwa? ndo maana mwanamke akijifungua akiwa busy na mtoto pia mnalalamika kuwa mapenzi yamehamia kwa mtoto, kila kitu mwataka mfanyiwe Loh......kazi ipo.
 
Unaishi kwa nadharia kuliko uhalisia unadhani kila nyumba unaweza kuweka hizo bafu za kisasa?

dancani, gharama ya nyumba ndogo mnayoshobokea mbona ni kubwa kuliko Hilo bafu, wanaume pangeni vizuri maisha yenu.
 
Last edited by a moderator:
dancani, gharama ya nyumba ndogo mnayoshobokea mbona ni kubwa kuliko Hilo bafu, wanaume pangeni vizuri maisha yenu.
Siungi mkono nyumba ndogo ila nilichokuwa namaanisha ni kuwa huwezi jenga bafu kila nyumba unayokwenda maana sio wote wanaishi kwenye nyumba zao na sio kila nyumba ina bafu nzuri pia ujue bafu inakuja baada ya kukamilisha ujenzi wa nyumba hata kama ni nyumba yako, Ila bafu ingekuwa kama friji au TV hapo ningesema sawa kuwa ni vzr kujitahidi unapohama unakwenda nayo
 
Yale yale ya kufunga gidamu (kamba za viatu) yanaelekea huko huko..........................!
 
We hukumuona kabla ujamuoa kwamba hajui kubembeleza? mbona ulimuoa hivyo hivyo? kila mtu ana mazuri na kasoro kidogo pia. so mrekebishe kwa upendo na utaratibu. ataelewa tu.
 
Sio sahihi kufikiri hana nidhamu kwa hilo tu, je kuna mengine yanasababisha ufikirie hivyo?
 

Haleluya....!!
 
Wanaume wa kibongo bwana hata maji ukalibishwe?? kimekuwa chakula ...Kaoge huko acha uchafu...:lalala:
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…