Muikizu muelewa
Member
- Jul 28, 2021
- 35
- 31
Kama vipi mshushe atakuchosha mwishowe mbeleko ichanike!
Mi najua mbinu za kupunguza huo wivu..mi mitara siwezi nna wivu nyegele akasome
Huyo ni mke wa ndoa au ni mchepuko tu?Niko nasoma nje ya Tanzania huku nifanya kazi katika company fulani nikilipwa mshahara dollar 1,800 kwa mwezi,najigharamia mwenyewe masomo yangu kwa 50% nyingine ni sholarship na gharama nyingine za maisha.
Nimeacha mke na mtoto mmoja nyumbani.mke wangu najitahidi kumtumia dollar 1,000 kila mwezi.yeye anafanya kazi katika shirika fulani Tanzania na
Hiyo ni indication mbaya juu ya mahusiano yenu...kama wakati uko nyumbani ulikuwa unampta kiasi hicho na kinatosha...au chini yake na kinatosha..jua kuna mwenzio huenda anakula vyako....mi nakudhauri uache kutuma kwa muda kidogo..uone atavumilia au atakuacha? Kuna mwenzio juzi hapa..karudi kakuta mwenza anadalali mla vya watu...Niko nasoma nje ya Tanzania huku nifanya kazi katika company fulani nikilipwa mshahara dollar 1,800 kwa mwezi,najigharamia mwenyewe masomo yangu kwa 50% nyingine ni sholarship na gharama nyingine za maisha.
Nimeacha mke na mtoto mmoja nyumbani.mke wangu najitahidi kumtumia dollar 1,000 kila mwezi.yeye anafanya kazi katika shirika fulani Tanzania na
Kiaje?mi najua mbinu za kupunguza huo wivu..
Ukubali kwanza af mbinu ziendelee, okay?kiaje?
Haya nakubaliukubali kwanza af mbinu ziendelee, okay?!???..
Ahaahah asante kwa kukubali mkuu..haya nakubali
Kabisa aisee. Hapo ukute anajenga kwao.Duh! Ndugu yangu, hilo ni gunia la misumari, halibebeki. Kadiri unavyoligeuza ndivyo unavyolipa nafasi kukuumiza zaidi.
Ukitahamaki, amemaliza kujenga kwao halafu anakwambia samahani nilipotea njia.
Rejea TZ haraka, chukua mtoto wako, mpeleke kwa mama na yeye mpe mapumziko. Aelewe TZ wapo wanaoishi kwa chini ya Ts. 300,000 kwa mwezi, sasa ikiwa yeye 1.8 million pamoja na mshahara wake tuseme ni 200,000 tu, tayari anazo 2millions. Amka baba!