Mke wangu habebeki...

Niko nasoma nje ya Tanzania huku nifanya kazi katika company fulani nikilipwa mshahara dollar 1,800 kwa mwezi,najigharamia mwenyewe masomo yangu kwa 50% nyingine ni sholarship na gharama nyingine za maisha.

Nimeacha mke na mtoto mmoja nyumbani.mke wangu najitahidi kumtumia dollar 1,000 kila mwezi.yeye anafanya kazi katika shirika fulani Tanzania na
Huyo ni mke wa ndoa au ni mchepuko tu?
 
Niko nasoma nje ya Tanzania huku nifanya kazi katika company fulani nikilipwa mshahara dollar 1,800 kwa mwezi,najigharamia mwenyewe masomo yangu kwa 50% nyingine ni sholarship na gharama nyingine za maisha.

Nimeacha mke na mtoto mmoja nyumbani.mke wangu najitahidi kumtumia dollar 1,000 kila mwezi.yeye anafanya kazi katika shirika fulani Tanzania na
Hiyo ni indication mbaya juu ya mahusiano yenu...kama wakati uko nyumbani ulikuwa unampta kiasi hicho na kinatosha...au chini yake na kinatosha..jua kuna mwenzio huenda anakula vyako....mi nakudhauri uache kutuma kwa muda kidogo..uone atavumilia au atakuacha? Kuna mwenzio juzi hapa..karudi kakuta mwenza anadalali mla vya watu...

Hela na gari alituma kwa wife..dalali amejiandikisha..na bado anampelekesha wife aitishe hela zaidi.jamaa aliamua kurudi kimya..nahisi watu waliumtonya....akamwambia abaki na dalali..na yeye atatafuta wake.sa hz dalali kamkimbia..hela wala gari hana. Kwa hiyo kaa macho..ukiona mwanamke ananguruma..jua anatiwa ujeuri huyo.
 
Duh! Ndugu yangu, hilo ni gunia la misumari, halibebeki. Kadiri unavyoligeuza ndivyo unavyolipa nafasi kukuumiza zaidi.
Ukitahamaki, amemaliza kujenga kwao halafu anakwambia samahani nilipotea njia.

Rejea TZ haraka, chukua mtoto wako, mpeleke kwa mama na yeye mpe mapumziko. Aelewe TZ wapo wanaoishi kwa chini ya Ts. 300,000 kwa mwezi, sasa ikiwa yeye 1.8 million pamoja na mshahara wake tuseme ni 200,000 tu, tayari anazo 2millions. Amka baba!
Kabisa aisee. Hapo ukute anajenga kwao.
 
Hilo zigo la mawe mwanamme mwenzagu.. ni vizuri umelifaham mapema. Tupa shimoni mapema kabla haĺjakuua
 
Back
Top Bottom