ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,252
- 8,339
Huyo anajenga kwao na nafanya biashara zake ukirudi tu unapigwa kibuti, ushauri wangu kabla hujatuma hela mwambie akupe matumizi ya hela iliyopita lakini pia punguza kumtumia hela nyingi manake anajua unazo tu, au mwezi huu ukituma mwezi mwingine atumie mshahara wake, kwani mtoto si niwenu wote hata yeye anapaswa amtunze. Vinginevyo kama ulivyosema peleka mtoto kwenu mtumie pesa za matumizi mama yako. Ndo atatia akili.... watu wengi wanachezea maisha, dollar iko 1800 na ushee halafu analeta ubazazi kwenye pesa?