Habari za jumatano wanajamvi, bila shaka mmeamka salama kabisa.
Leo nimekuja huku kuomba ushauri maana tangu usiku sijalala kichwa kinawaka moto.Nimeoa miaka minne ilitopita, kabla ya hapo niliambiwa kabila la Mbulu sio la kuoa mie moyo ukawa umenasa hivyo na pete kanisani ikavaliwa. Nimebarikiwa mtoto mmoja wa kike.
Mwaka 2011 nilimfungulia account facebook mchumba kabla sijamuoa na nilikuwa namuamini sana.Tatizo Jana (Jumanne nikiwa kazini akaniambia account yake imesumbua halafu njia ndio mie hivyo nikiwa kazini nikalog in kwenye account yake (ikumbukwe tangu nimuunge sijawahi ingia kwenye inbox wala kugusa simu yake) baada ya kumrekebishia tatizo lake nikaona niingie inbox kwa mara ya kwanza.
Ukweli mie sinywi pombe lakini Jana nilijikuta naondoka kazini mapema na kwenda kuzimua kichwa. Nimekuta message nyingi anachat na vijana za ajabu ajabu mara mume wangu nitamuaga naenda kwa ndugu nitakuja kwako, mara mume wangu hayupo halafu nipo kitandani peke yangu baridi kali, Mara nimetoka kuoga ndio najifuta now, halafu anagawa namba yake ya simu kirahisi kwa kila anayemuomba namba. Yaani nusura nianguke ofisini maana mpaka wenzangu wamejua kuna tatizo ila sijafungua mdomo wangu.
Nimerudi nimemkuta ananichekea yani sijaongea kitu roho inaniuma vibaya, nahangaika kutoa jasho kwaajili ya kumpendezesha na mtoto wetu ila kaniona boya. Wakati naanza uhusiano nae nilikuta akiwa na elimu ya darasa la saba tu, nikamuendeleza QT na kumfundisha mpaka now ana diploma na October anaingia degree, sijui hata nifanye nini haki ya Mungu inanitesa sana.
Ahsante kwa hiyo..Basi shem wako akicheat hakuna msamaha teh
Ni kweli ndugu yangu Naweza sema kifua sina kabisa ndio maana muda wote huo sikuwahi fatilia simu yake wala accounts zake zaidi nilikuwa naona anapost picha au status basi nalike na kucomment basi...Jana sijui nilishikwa na roho gani akyamungu yamenitokea puani, sijapata usingizi nimekesha naangalia movie YouTube huku yeye kalala...
Ile kitu bwana wanasema hakuna mwanaume anapenda ku share labda asijue.Haha. Ditto. Sina ujasiri wa kusamehe hiyo kitu pia, wala siuhitaji.
Ndugu jaribu kutumia tafsida basi maana kuzungumza matusi waziwazi tunakuwa hatuna tofauti na wahuni wa vijiweni...inawezekana au isiwezekane kwamba katembea nao kwani sijaona message hata moja ambayo kijana anaongea kufurahi kukutana faragha na kuinjoi...zaidi ni message za kipuuzi za udhalilishaji kwa Mke wa mtu. Like nipo kitandani, nakula hiki, napika, nimetoka kuoga ndio navaa, ninekumisi sana, nataka kusikia sauti yako, una ratiba gani leo, unafanya nini Sasa hivi, nataka nikuone, mume wangu amerudi tutachat kesho, nipo kitandani baridi, natamani ningekuwa karibu yako nikupe joto n.kHakuna aliyekuuliza hili,lkn mlichukua muda gn kwny uhusiano kabla hamjafunga ndoa?maana kuna formula wazazi wetu walikua wanazifuata na ndo mana wakadumu na sisi hatuzifuati ndo mana ndoa zetu zinakufa mapema.Na hapo waliokutombea sio mtaani tu,na huko chuo alipokua anasoma,bado qt wote wametomba,huyo ni malaya.
Labda so cha kawaida kwako ha ha ha ni ukweli ila ni ukweli mchunguKuchapiwa sio kitu cha kawaida mpendwa...
big up sana huwa napenda kujadiriana mambo na watu waliokomaa kama wewePole ya kawaida hayo, ongea nae delete hiyo account Facebook, jipe muda maumivu yapungue msamehe maisha yaendelee.....
Kumbe umeona kenge, tanapa walikupa kibali?Hata mimi kuna nyau mmoja alifanya hivo hivo
Kila siku anagawa namba yule kenge
Kirahisi hivyo! He! Kwetu wana methali inasema "Akushabilila katafile tomanya nka akelekela" literal translation: Mtu anayetembea na mke/mme wako kama bado yuko hai huwezi jiaminisha ameacha! Msamehe, ameacha au jifanye hakuna jambo kama hilo? Anyway ni vizuri kuvumilia lakini inahitaji moyo! Ushauri wako ni mzuri anywayPole ya kawaida hayo, ongea nae delete hiyo account Facebook, jipe muda maumivu yapungue msamehe maisha yaendelee.....
Very well said mkuu funzadumekama hii story ni ya kweli pole sana ila nimesoma btn lines kuna sehemu umedanganya umesema ulimkuta darasa la saba ukamuoa na akasoma QT na diploma na kupata mtoto katika kipindi cha miaka minne. Ukiangalia vizuri muda unakinzana na alivyovipata content ya story sina tatizo nayo. Ushauri piga vibao mtimue harudi kwao ili aone ukubwa wa kosa na pia wazazi wake wajue nini binti yao anakosea ili wamfunze. Akiomba radhi msamehe ila atajua wewe huna mzaha. Mambo ya kukaa nae hotelini na kuongea nae kistaarabu achana nayo utaonekana boya na utaendelea kuchapiwa. Onyesha hasira zako na action pia
Story nyingi za humu huwa ni fictions!kama hii story ni ya kweli pole sana ila nimesoma btn lines kuna sehemu umedanganya umesema ulimkuta darasa la saba ukamuoa na akasoma QT na diploma na kupata mtoto katika kipindi cha miaka minne. Ukiangalia vizuri muda unakinzana na alivyovipata content ya story sina tatizo nayo. Ushauri piga vibao mtimue harudi kwao ili aone ukubwa wa kosa na pia wazazi wake wajue nini binti yao anakosea ili wamfunze. Akiomba radhi msamehe ila atajua wewe huna mzaha. Mambo ya kukaa nae hotelini na kuongea nae kistaarabu achana nayo utaonekana boya na utaendelea kuchapiwa. Onyesha hasira zako na action pia
Hata ukisema unaendelea kukaza ni kujiumiza tu moyo na kujipa stress kama kafanya kafanya tu haibadilikiKirahisi hivyo! He! Kwetu wana methali inasema "Akushabilila katafile tomanya nka akelekela" literal translation: Mtu anayetembea na mke/mme wako kama bado yuko hai huwezi jiaminisha ameacha! Msamehe, ameacha au jifanye hakuna jambo kama hilo? Anyway ni vizuri kuvumilia lakini inahitaji moyo! Ushauri wako ni mzuri anyway
2009-2011 akafanya mtihani wa form four, 2012 February inshallah akapata matokeo sio mazuri sana wala sio mabaya akaingia certificate ila 28 July akadaka ujauzito, 21 November 2012 ndoa..15/4/2013 akajifungua mtoto wa kike. 2013-2015 Diploma kamaliza Mwaka Jana akapumzika Mwaka huu anaapply degree, mtoto wetu ana miaka mitatu now...nikutaarifu tu huyu binti alijaa vyema nilianza kumsomesha QT January kabla sijapata jibu kuwa ni demu wangu kisha April 2009 ndio akakubali kuwa kwenye uhusiano akiwa anasoma.kama hii story ni ya kweli pole sana ila nimesoma btn lines kuna sehemu umedanganya umesema ulimkuta darasa la saba ukamuoa na akasoma QT na diploma na kupata mtoto katika kipindi cha miaka minne. Ukiangalia vizuri muda unakinzana na alivyovipata content ya story sina tatizo nayo. Ushauri piga vibao mtimue harudi kwao ili aone ukubwa wa kosa na pia wazazi wake wajue nini binti yao anakosea ili wamfunze. Akiomba radhi msamehe ila atajua wewe huna mzaha. Mambo ya kukaa nae hotelini na kuongea nae kistaarabu achana nayo utaonekana boya na utaendelea kuchapiwa. Onyesha hasira zako na action pia
Option ya kwanza to me is preferred! Evelyn are you married? Can you take the second option. Anyway, kwa wanawake mnakutana nayo sana mume kuwa na hawala nje wachache wanaondokaga na kuvunja ndoa! Kwa mwanamume Mh!!!!!!!!!Hata ukisema unaendelea kukaza ni kujiumiza tu moyo na kujipa stress kama kafanya kafanya tu haibadiliki
Unabaki na option mbili tu
1:huwezi kumsamehe, vunja ndoa
2:jipe muda maumivu yapungue, msamehe maisha yaendelee
Baaas