Mke wangu ananiumiza kichwa

iwe kumbe olyo'womuka?? mpola wamawe'!!!
 
Yaaaaah Unaenda kugongewa tu Huko chuoni kama Akienda Wake za Watu chuoni Warahisi sanaaaa labda km ameshazeeka Watu hawana time naye ila km bado damu inachemka Jua unaenda kugawa na atakuletea na wewe km Movie ya Adam na Hawa.... Wambulu ni Wagawaji AKA si Wachoyooo
 
Am not so far from what you had said, women need special attention katika kuuliza kile alichokikosea na ni wepesi Sana kujutia and so on.
 
Pole sana mkuu.... hawa watani wetu wa jadi hawatabiriki hata kidogo. tena pale utapomuonesha kuwa unamuamini anatumia mwanya huo kufanya yake...mwanamke isimwambie nakuamin hata kama unamtania atakuliza.......Mwanamke kumuamin ni sawa na kumpa ramani ya vita unapigana nae.....
 
Halafu cha ajabu kajamaa ambako kanampa jeuri Facebook nimeview account yake ni kasanii ka muziki underground hakajatoka...yaani vivulana vya kipuuzi puuzi kabisa roho inaniuma kupita maelezo
Pole saaana mkuu,jaribu kutafuta chanzo,usisahau wewe na mkeo ndio wenye uwezo wa kujenga au kubomoa ndoa yenu;bado una nafasi ya kurejesha heshima ya ndoa yako

Pia mara nyingi kukaa mbali na mkeo ni hatari saana kaka,jitahidi kutengengeneza mazingira ya kuwa karibu na mkeo atapunguza kutafuta faraja nje ya ndoa
 
Pole ya kawaida hayo, ongea nae delete hiyo account Facebook, jipe muda maumivu yapungue msamehe maisha yaendelee.....
Siungi mkono ushauri wako kaka. Huyo mwanamke si wa kumsamehe la sivyo yatamkuta ya sajenti kinyogori
 
Wanaposema "hakuna ndoa isiyo na matatizo" wanamaanisha mambo kama hayo. pia ulikula kiapo " kwa shida kwa raha" hiyo ndiyo shida uliyoapa kuila.
Ukioa/olewa halafu ukalalamikia matatizo ya ndoa ni upumbavu, kwani uliingia ndoani ukijua hakuna ndoa isiyo na shida. Hasara za ndoa ni nyingi kuliko faida.
 
Du hiyo ni FB tu bado huko QT na hiko diploma alipopita! Huko Degree bado bado kitaa, oh nimesahau humu JF
 
Du hiyo ni FB tu bado huko QT na hiko diploma alipopita! Huko Degree bado bado kitaa, oh nimesahau humu JF
 
Pole kwa kupitia masumbuko makubwa ya kuumizwa na mwenzi wako!
Kweli kuna sehemu anakosea Ila inabidi uelewe tu kuwa social media zina ushawishi wake pia! Ulikuwa umemfungulia mwenyewe account FB ambapo ulitaka asocialize na watu! Kwa kweli kwa watu wenye umri mdogo hupelekwa sana na hisia na. Hilo ni jambo la kawaida!
Lakini vipi kama yeye pia angeweza kuingia inbox ktk simu yako, FB, WhatsApp, Instagram Twitter etc, je asingekutana na ujumbe hata mmoja wa kumsononesha! Hizi tevhnolojia kuna time zinaleta utundu wa kujitongozesha au kutongoza bila hata ya sababu! Just cool down, ni vema ukaanza kuelewa tu kuwa mwenzi wako inawezekana ameanza uhusiano nje ya ndoa Ila tumia busara kunusuru familia yako!
Unaweza kuvumilia na kumwambia ulichokiona, pia kudemand asiendelee na uhusiano na mwingine wowote (ingawa ngumu)! Just try ukiwa na faith na ukipresent hoja bila mihemko ya ghadhabu unaweza kumfanya akuelewe!
 
Pole ya kawaida hayo, ongea nae delete hiyo account Facebook, jipe muda maumivu yapungue msamehe maisha yaendelee.....
Hiyo ni Tabia yake halisi na jamaa ana bahati kuijua, hata kama akimfutia Hiyo facebook hawezi kamwe kumfutia hiyo tabia,
 
Halafu cha ajabu kajamaa ambako kanampa jeuri Facebook nimeview account yake ni kasanii ka muziki underground hakajatoka...yaani vivulana vya kipuuzi puuzi kabisa roho inaniuma kupita maelezo
Blaza usipanic sana mkeo .....itakuwa anajifurahisha tu na hajawahi wala hana mp ango wa kufanya lolote baya.... just a chatting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…