Mke wangu ananiumiza kichwa

Mmmhh.chanzo cha hayo yote ni wewe mwenyewe! Baada ya hasira kuisha jitafakari,ongea na mkeo then delete hiyo account problem solved! Mke wa mtu unatoa wapi muda wa kuanza kuchati na vivulana loh! Huyo naye jipu ka majipu mengine tu! Mpe kerebu moja kwanza ajifunze huenda unamlea ka yai! Mwanamke hatakiwi kupewa uhuru kiivyo loh!
 
Pole .mwambie asijekupigwa pi za utupu .akaona dunia chungu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ha ha ha ha ha haaa, nacheka kama mazuri. It's pay back time beibe, mara nyingi unayemtumikia ndo anakupa ujira hivyo usitegemee kumtumikia shetani halafu asikupe mwanamke wa kambi yake we nani.
hakuna unachobadilisha kwa kupaniki kama ameliwa ameliwa tu ila uzuri wamekubakishia hawajaondoka nacho.
Mwambie umeona hayo mawasiliano uone anasemaje, anaweza kuwa anachati nao tu
 
duh.... mkubwa pole sana. mie hapa sisemi chochote,,,, nashauri tuu usiguse simu ya mkeo wala asiguse yako..... kuna mahali umesema ulikuwa malaya mbwa -----ndege wafananao..............
 
wakulaumiwa ni we mwenyewe,,,umemfundisha panya kula pamba,wakati godoro lako ni la sufi.
 
hapo ni sawa na kumbembeleza,kama ana ushahidi wa kutosha kama tunda lake linaliwa,ni kumtema tu,dunia imeoza hii,msije kuvaa nepi bure!
 
shangazi umeongea kapoint kwa mbaaali,kwanini mke wa mtu akeshe mitandaoni?lakini kufuta akaunti sio dawa,atafungua nyingine kwa siri,na kama ni tabia yake ataendelea tuuuuuuu.
 
Hii dunia tunatakiwa tusifuatiliane. Waaminifu ni wachache. Acha kumfuatilia mkeo uishi kwa amani, vinginevyo unachotafuta utakipata. Wanawake hawana lebo kama ameolewa au bado. Ndio maana wengi siku hizi hawakatai, ukiongeza na ulimbukeni wa mitandao ya kijamii, wengi wanataka kuwaonesha wanaochat nao kuwa wako single. Hapo ndipo shida inapoanzia.
Usimchunguze sana kuku kwani huwezi kuendelea kumla!
 
Hio siyo excuse mkuu. Unaweza kumwambia mkeo hata kama wazee hujawahi kuona wakifanyiana hayo. Tatizo la wanandoa wengi ni kuwa wavivu na kutegeana mke anaona mzee hajishughulishi naa yeye anaona poa tu. Baada ya hapo hakuna anayehangaika kumfurahisha mwenzake mnaanza kuishi kama roommtes akitokea mchepuko mtu anahamia hukohuko.
 
Pole ya kawaida hayo, ongea nae delete hiyo account Facebook, jipe muda maumivu yapungue msamehe maisha yaendelee.....
Nataka kufuta account facebook lakin nashindwa nimejaribu mara kadhaa lmeishia kudiactivate kwa muda still notification Zinakuja kama kawaida
Nitumie mbinu gani niifute permanet mkuu naomba mbinu
 
Pole sana bro, ila haki ya nane tena Wambulu wengi wao ni warahisi sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…