Wise1
Senior Member
- Dec 6, 2012
- 199
- 128
Hii ni very interesting.Interesting peke yake haitoshi kaka.Interesting ...
Hii ni very interesting.Interesting peke yake haitoshi kaka.Interesting ...
Swali la msingi sana hili especially now that taasisi ya ndoa imegubikwa na hizi changamoto.KWANI MKUU HUYO MKEO KAKUOA WEWE AU?
Nashukuru kaka kwa ushauri.Pole mkuu hapo ukisema kupigana nae utamuumiza .chamsingi nikumzarau mpaka ajue umemzarau .
Nimemuoa ndio maana nimesema mke wangu.KWANI MKUU HUYO MKEO KAKUOA WEWE AU?
Sasa unataka nijiite nani?,Na wewe unajiita mwanaume
Kiukweli situmii kilevi chochote na wala sina issue na mademu au wanawake wa nje.Ww unajitetea tu si useme ukitoka unapitia bar na kwa machangudoa tu....huyo mkeo aongeze jitihada akutandike has a hadi unyooke
si bora hata anavyokuja anapigwa vibao yanaisha, akilala huko si ndo mazima kabisa!!Sasa usrudi lala hukohuko akikuuliza kulikoni mwambia ulichelewa ukaogopa kuchezewa vitasa.
Yah! huo ndio ukweli ndugu yangu.Unapigwa mpaka unalia
Naishi na mke, kama sio kama siwezi kumdunda ila nahofia kuishia segerea na watoto wangu kupata shida.Hapa ndipo ninapo pata mashaka kuhusu uanamume wako, maana ninahisi tunazidi kupungua kwa kasi ya Standard Gauge......
Kwani, wewe ndie ulie oa ama umeolewa...?
Kwani, unaishi na mke ama bondia...?
Ahsante kwa ushauri ndugu.Usikubali mwanamke akupande kichwani
Mwanamke kunipandishia sauti ni dharau tosha achilia mbali kunyanyua mkono wake
Piga ua huyo si mwanamke bali ni mme mwezako. Nawe mwoneshe ubabe wako.Mimi ni mwanaume niliejaaliwa kuwa na watoto wawili wakike na wa kiume na mke wangu nimemuoa miaka kumi iliyopita huko mkoani iringa, shughuli zangu ni fundi seremala katika hizi kampuni za ujenzi za kichina zilizotapakaa hapa jijini dar ambazo tunajenga nyumba mbalimbali za miradi ya jamii.
Sasa mara nyingi pesa huwa tunalipwa kwa kila wiki, sasa hapa kati huwa napigika sana yaani nakuwa sina pesa hivyo ni lazima nijiongeze kwa kufanya kazi za ziada pindi ninapotoka kazini ile saa kumi, sasa najikuta nakuwa huko mitaani mpaka saa mbili au saa tatu usiku ndipo namaliza kazi zangu za ziada na kupata pesa then naelekea home.
Lakini ninapofika nyumbani nakumgongea mke wangu anifungulie mlango nikiingia ndani tu maneno yanaanza, nikimjibu kuwa nilipitia sehemu kufanya kazi maana nimerudi kazini nikiwa sina pesa naambulia vibao usoni napigwa mpaka nalia ndugu zangu huku nikiambiwa na mke wangu...usinijibu mimi nakwambia...roho inaniuma sana ndugu zangu naomba mnishauri nifanye nini ili kuepukana na vipigo hivi mimi jamani?.
Aendelee kukupiga ivyoivyo ili akili zikae sawa boya wewe