Michael makassy
Member
- Jan 4, 2019
- 34
- 38
Yaani mke wangu kila nikimuomba tendo ananinyima nikijaribu kumpapasa napigwa kifuti eti akinipa tutamualibu mtoto ambaye ana miezi minne mpaka sasa
jamani nashindwa la kufanya juu ya hili swala binafsi naumia hasa pale ninapo kuwa na hamu alafu natolewa nje.
Hivi imekaaje hii je ni kweli tunaweza kumualibu mtoto au vipi
Sent using Jamii Forums mobile app
jamani nashindwa la kufanya juu ya hili swala binafsi naumia hasa pale ninapo kuwa na hamu alafu natolewa nje.
Hivi imekaaje hii je ni kweli tunaweza kumualibu mtoto au vipi
Sent using Jamii Forums mobile app