Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,314
- 5,982
Ni kweli kuwa na mchepuko kunaweza kusaidia kwa kiasi fulani lakini siyo kwamba ndiyo suluhisho la kudumu katika kutatua tatizo hilo maana ni kama kunywa pombe pale unapokuwa na stress ukitegemea kuondoa tatizo kumbe ni kuahirisha tu tatizo kwa muda na pombe zikiisha stress zinaendelea kama kawaida.
Kuna jamaa yangu anadai kama ingelikuwa siyo michepuke yake ndoa yake na mkewe ingekuwa imeshalala chali siku nyingi.