Anakulazimisha na we hupendi, ni heri umuache urudi kwenu make lazma atakuja akubake tu....
Kamsemee kwa mama yake!!
Labda yatima huyu
KHAAAA sasa tukishauri nn hapo hahahah kuna watu wana akili za usiku
jaman mwenzenu hata cjui nfanyaje mana huku tulipo ni baridi lakini nkilala na boksa tu kosa.yeye anataka tulale uchi alafu gegedo langu liwe ndani ya papuchi yake mpaka asubuhi
ha ha ha ha!!! Loh
Jf c mchezo,ina mambo!! et gegedo liwe ndani muda wote huh!!!
una bahati sana, kuna wanaume wanaolalamika wake zao hata kukumbatiwa tu hawataki. kweli penye samaki hapana wavuvi.