Bundakwetu
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 551
- 1,006
Habari zenu humu kwenye Jukwaa hili pendwa, mimi nimeoa mke na tumefanikiwa kupata watoto wa 3 wote wa kike, sasa mke huyu mwaka wa 8 huu hajawahi kuniwekea maji bafuni wala kunufulia nguo zangu. Sasa watoto wangu hatimae wamekuwa na wameanza kujitambua.
Kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe, mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui! Hali hii inanishangaza na kunisikitisha, sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje? Upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau, naomba ushauri wenu.
Nawasilisha.
Pia soma: Asanteni Jf kwa ushauri wenu na hiki ndicho nilichokiamua
Kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe, mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui! Hali hii inanishangaza na kunisikitisha, sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje? Upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau, naomba ushauri wenu.
Nawasilisha.
Pia soma: Asanteni Jf kwa ushauri wenu na hiki ndicho nilichokiamua