Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

Kuna ngosha alikwenda Rufiji Pwani.
Kule alikuwa anakula sembe, kunde, dagaa za baharini na mafuta ya mawese(chikichi). Akapata shida ya choo kama mkeo.
Akapimwa hakukutwa na tatizo lolote.
Akashauriwa ale dona, mafuta ya kupikia ya dukani, dagaa wa Mwanza na maharagwe. Akaanza kupata choo kama kawaida.
 
Kama ni constipation, mpe castor oil, au mloekee ukwaju glass moja mpe anywe, mpe mapapai na vyakula vyenye nyuzi nyuzi, mpe maziwa mgando!
Hiyo castol oil anakunywa?
 
Au yupo kwenye diet anashindia andazi moja?

Afanye mazoezi ya pelvic floor na anywe maji ya kutosha!!

Ukwaju wa kuloweka kuna kuharisha kipimo kikizidi.
 
Back
Top Bottom