Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 6,237
- 6,610
Vyote ulioshauriwa kuvifanya hapo juu usiwe na shauku ya kupata matokeo kwa haraka, tatizo huwa linaanza taratibu na pia kutoka kwake huchukua muda, kwa hio awe na subira kila kitu kiende kwa kiasi. Cha kuongezea kila akimaliza kula asilale papohapo, atumie muda kama nusu saa hivi kutembea. Kingine afanye mazoezi asikae sana na asitumie vyoo vya kukaa.
