snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
Jamani mnisaidie.
Siku za karibuni mke wangu anajamba sana nyakati za usiku, tena kwa sauti kubwa.
Kujamba kwake kunanishtua sana usingizini, na nashindwa kuendelea kulala.
Jambo hili linanitesa sana maana hata nikiwa kazini ninachoka sana maaana silali masaa ya kutosha.
Nimemuuliza ni nini, ila hata yeye hajui chanzo. Siwezi kumkimbia.
Je, hili ni jambo la kawaida? Hivi kuna dawa ya kuzuia hilo?
Nisaidieni mwenzenu!
=====
SIMILAR CASES:
Mwingine:
Siku za karibuni mke wangu anajamba sana nyakati za usiku, tena kwa sauti kubwa.
Kujamba kwake kunanishtua sana usingizini, na nashindwa kuendelea kulala.
Jambo hili linanitesa sana maana hata nikiwa kazini ninachoka sana maaana silali masaa ya kutosha.
Nimemuuliza ni nini, ila hata yeye hajui chanzo. Siwezi kumkimbia.
Je, hili ni jambo la kawaida? Hivi kuna dawa ya kuzuia hilo?
Nisaidieni mwenzenu!
=====
SIMILAR CASES:
Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu.
Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu?
Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help
Mwingine:
Mimi na mke wangu tunapenda sana utani. Lakini huu utani wa kufikia mahala haoni aibu mpaka anakua ananijambia tukiwa kitandani..mi sipendi kweli. Mpaka nasafoketi.
Afu anajamba mpaka pua inachachuka kabisa. Nikimwambia anaona kama utani...
Nipeni ushauri wadau.... Nampenda sana mke wangu.