Wapo watu wengi tu wanaojivunia kuzifanya hizo kazi.
Mkuu kwa maisha ya sasa, watu wanaangalia maslahi, wapi kuliko na malisho ya kijani kibichi kingi..!
Kujivunia kazi kulikuwa enzi za socialism wakati nchi ilipokuwa haijaingia katika mfumo wa kibepari..
Uko right kabisa, big up kwa kuona hili mkuu Kiwa
Dah aisee kama anakupenda vzr kbs usijali, ila si salama sana unless atakua anafanya kazi (not shame jobs). Ila kama ni kutafuta senti fanya fasta umfate, kuna mijama ya west Afrika inapenda sana dada zetu yaani na huu upweke na life style la majuu bila company ngumu sana.
Life is soo stressful bila kuwa na company ndio mana mambo ya bf n gf wamewaacha watoto wanaendelea tu as long as wako above 16
Du hatari sana ndugu yangu,ila sijakuelewa vizuri.Ameitwa na mlezi wake ambae ni baba yake ama ameitwa na mlezi aliemlea tu? By the way dhumuni na lengo la safari hiyo ni nini hasa?Kama huelewi kinachoendelea mwambie na wewe unataka kwenda nae maana alichokiunganisha Mungu mwanadamu tena mlezi asikitenganishe,ala nani hapendi upepo wa ulayaHi wadau,
Mi ni mgeni Hapa JF ila napenda kushare Jambo linaloninyima usingizi.Mke wangu anataraji kusafiri kwenda ughaibuni ifikapo mwezi wa nane,nimezaa nae mtoto mmoja na naishi nae katika mji mkoa mmoja Hapa Tz.Safari yake hii imegubikwa na utata kutokana na kwamba mlezi wake amemwita na hajui atachukua mda gani huko ughaibuni,Maisha yetu Hapa bongo si mazuri sana,na yeye anashawishika kumwacha mtoto kwa mzazi wake na kwenda ughaibuni.Sasa inaniwia ugumu kumuachia aende. Hebu put yourself in my shoes ingekuwa wewe ungelifanya nini,ukizingatia invitation imeshafika na process za visa na tiketi zinaendelea, naomba ushauri on a serious note kwa wadau
Depressed hubby
Sent from my iPhone using JamiiForums
Du hatari sana ndugu yangu,ila sijakuelewa vizuri.Ameitwa na mlezi wake ambae ni baba yake ama ameitwa na mlezi aliemlea tu? By the way dhumuni na lengo la safari hiyo ni nini hasa?Kama huelewi kinachoendelea mwambie na wewe unataka kwenda nae maana alichokiunganisha Mungu mwanadamu tena mlezi asikitenganishe,ala nani hapendi upepo wa ulaya
mmh mahusiano mengi hata ya ndoa huyumba sababu ya hizo safari za nje, tena hiyo ambayo hata haijulikani malengo, kama umeshamruhusa acha tu aende ila muwekeni Mungu mbele sana
Umeshasema maisha sio mazuri, muache aende bwana we akasake hela.
Acha kulia lia. If she is meant to still be yours then nothing will come between you.
Every cloud has a silver lining,hii ni alert kwangu na nsipoangalia naweza kuwa nimeolea wamarekani weusi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu kwa maisha ya sasa, watu wanaangalia maslahi, wapi kuliko na malisho ya kijani kibichi kingi..!
Kujivunia kazi kulikuwa enzi za socialism wakati nchi ilipokuwa haijaingia katika mfumo wa kibepari..
Umenipa faraja mkuu ni baba yake alimtelekeza awali sasa ameibuka anadai anataka kumsaidia mwanae aliyemwacha miaka 15 iliyopita
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kaka pole sana lakini kama kweli baba yake anataka ustawi wa ndoa yenu shurti angetaka na wewe uambatane nae lakini yeye kwa kutaka mwanae ndiye aende nina walakini ila ni ngumu sana.Vipi wakati anaandaliwa safari hiyo baba mkwe alikushirikisha ama aliwasiliana na mtoto wake tu basi
Shame jobs kivipi? Kama mtu shughuli zako zinakuingizia rizq halali na unajitegemea na hicho chochote ukipatacho (hata kiwe kidogo namna gani) na huombi mboga wala chumvi kwa mtu, shame itoke wapi?