brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Siku nyingine akianza maneno yake mpige na kitu kizito maana huyo anaonekana kuwa anataka kukupanda kichwani......
Huyu ni wewe kweli au ID yako imevamiwa???
Siku nyingine akianza maneno yake mpige na kitu kizito maana huyo anaonekana kuwa anataka kukupanda kichwani......
Kutokana na wimbi la story za kutunga humu JF hatuna budi kuficha busara zetu kwa watu wasiostahili..........Huyu ni wewe kweli au ID yako imevamiwa???
Dada yangu, with all due respect: Hatufahamiani kwa sura, hata huyo Riwa simfahamu kwa sura, hata mtoa mada pia. Hakuna haja ya kunikebehi kwa ushauri wangu niliotoa. Kama unaona tatizo la mke wa jamaa ni dogo, no worries pia, ni mtazamo wako na wala siwezi kukupinga au kukuchukia kwa kuwa na mtazamo tofauti na mimi, kwa sababu hiyo ndio dunia, lazima tuwe tofauti ili iendelee. Mawazo tofauti kutoka kwa watu tofauti ndo yanaiendesha dunia. Umewahi kufikiri wote tungekuwa na mawazo sawa dunia ingekuwaje? Ulichokosea wewe dada yangu Jestina ni KUTUSHUTUMU mimi na Riwa kuwa tunataka kumlia hela huyo jamaa!! Hapo umekosea, nilitoa comment hiyo kwa nia nzuri kabisa kutoka uvunguni mwa moyo wangu. Natanguliza kuomba msamaha kama imetafsiriwa kuwa tunataka kumla mtu hela zake; sijawahi kuwa na nia hiyo.Mnataka kumlia tu hela huyu mkaka,tatizo la mkewe sio kubwa kihiivyo lol azidishe upendo,ampe compliments za mara kwa mara,amshirikishe kwenye mambo yake then ataona signifficant change 
Nnakushauri jaribu kwenda nae kwa watoa ushauri nasaha maana inaonyesha mkeo ana tatizo kubwa la kisaikolojia so ukimpeleka kwenye watu ambao wamesomea masuala hayo watakuwa wa msaada mkubwa sana kwako na kukusaidia kuokoa ndoa yako
Siku nyingine akianza maneno yake mpige na kitu kizito maana huyo anaonekana kuwa anataka kukupanda kichwani......
Really?
Huu ushauri kiboko haya mtoa mada kazi kwakoPOA, Fanya Hv, Muache Usimkosoe Kama Miez 2 Hv. Hata Akikosea Mbele Za Watu Uchune, Kua Mpole, Muoneshe Mapenz, Na U2nze Kumbukumbu Ya Makosa Yake, Toa Cku Moja Akikosea, Mwite Chumban Muhoj, Mweleze Mwanzo Wa Makosa Yake, Then Mtandike Mpaka Alainike, Baada Ya Kichapo, Mwambie Sitak Hik Na Hik Kuanzia Leo Ama Ntakurudisha Home, Majeraha Yake Usimpe Pole Wala Kumpleka Hosp, Hatagundua Kama Umechukia, Mchunie Hata Cku 2,onesha Kutomjar, Huku Ukirud Mapema Home Na Mahtaj Kama Kawaida, Ila Usimguse, Atakuomba Samahan Mwenyewe Na HATARUDIA TENA, Sote Tulikua Hvo
Dada yangu, with all due respect: Hatufahamiani kwa sura, hata huyo Riwa simfahamu kwa sura, hata mtoa mada pia. Hakuna haja ya kunikebehi kwa ushauri wangu niliotoa. Kama unaona tatizo la mke wa jamaa ni dogo, no worries pia, ni mtazamo wako na wala siwezi kukupinga au kukuchukia kwa kuwa na mtazamo tofauti na mimi, kwa sababu hiyo ndio dunia, lazima tuwe tofauti ili iendelee. Mawazo tofauti kutoka kwa watu tofauti ndo yanaiendesha dunia. Umewahi kufikiri wote tungekuwa na mawazo sawa dunia ingekuwaje? Ulichokosea wewe dada yangu Jestina ni KUTUSHUTUMU mimi na Riwa kuwa tunataka kumlia hela huyo jamaa!! Hapo umekosea, nilitoa comment hiyo kwa nia nzuri kabisa kutoka uvunguni mwa moyo wangu. Natanguliza kuomba msamaha kama imetafsiriwa kuwa tunataka kumla mtu hela zake; sijawahi kuwa na nia hiyo.
Mwisho kabisa, kwa sababu mtoa mada ni mtu mzima, yeye atachambua kila aina ya ushauri atakaoupata humu na kwingineko, atachagua utakaomfaa na kuufanyia kazi, haina haja ya sisi watoa ushauri kukebehiana.
Hata yeye mwenye huwa anamtaja taja shangazi kuwa ni mtu katili kwake