Mke wangu ana majibu ya rejareja

Mke wangu ana majibu ya rejareja

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
783
Reaction score
3,665
Yani ni majibu ambayo sio ya kiuungwana.

Mfano: Niliwahi kumuuliza mmekula tambi na nini akanijibu "tumekula na mdomo" tukiwa mbali ukiongea video call anaweka mguu, ukimuuliza huo mguu wa nini anasema " wakutembelea"

Ni mengi ya aina hiyo, dawa yake ninini?
 
Yani ni majibu ambayo sio ya kiuungwana, mfano,niliwahi kumuuliza mmekula tambi na nini akanijibu "tumekula na mdomo" tukiwa mbali ukiongea video call anaweka mguu, ukimuuliza huo mguu wa nini anasema " wakutembelea"
Ni mengi ya aina hiyo, dawa yake ninini?
Hahaha... Aisaee, Shemeji ni mcheshi sana!!

Ntarudi baadae kukushauri....
 
Yani ni majibu ambayo sio ya kiuungwana, mfano,niliwahi kumuuliza mmekula tambi na nini akanijibu "tumekula na mdomo" tukiwa mbali ukiongea video call anaweka mguu, ukimuuliza huo mguu wa nini anasema " wakutembelea"
Ni mengi ya aina hiyo, dawa yake ninini?
Km anaweka mguu kwenye video call basi anakuwa anataka umfyatue.
 
Yani ni majibu ambayo sio ya kiuungwana, mfano,niliwahi kumuuliza mmekula tambi na nini akanijibu "tumekula na mdomo" tukiwa mbali ukiongea video call anaweka mguu, ukimuuliza huo mguu wa nini anasema " wakutembelea"
Ni mengi ya aina hiyo, dawa yake ninini?
Kama ana majibu ya rejareja wewe mpe majibu ya jumla
 
Wanawake wakati mwingi usiwachukulie seriuz sana watakuumiza kichwa.

Wanawake wenye vituko au wapenda magomvi ni watu wanaopenda attention tu.

Hapo anataka attention yako tu hakuna lolote. Unaweza kumu intertain kwa kiasi na wakati mwingine mpuuze yaani mpuuze mwisho ataacha.
Uwe ni mtu wa vipindi wakati mwingine muintertain wakati mwingine mpuuze.

Kuwa mtu wa kati na kati na usiwe mtu wakutabirika.
 
Back
Top Bottom