Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,297
- 62,487
Nami nasubiri hao mashetani 😀😀sawa mashetani yanakuja ku komenti sasa...
Wanasema mke mwema hutoka kwa bwanaHongera sasa, kumbe unaanisha Mungu ungeeandika BWANA, kuandika bwana nikajua ametoka mchepukoni na ndo umempokea kwa bashasha
Huwa tunasaidiana, ila michepuko ni part time tu; kwa sababu mke hawezi kukuhudumia kila siku tendoDooh kweli kuwa mke wa ndoa nako siku hizi hakuna thamani, yani siku zote ukikwama mkeo anakusaidia ila wewe unahangaika na michepuko isiyokusaidia halafu ukifirisika hiyo michepuko inakuacha kisha mkeo ndio anatakiwa akuvumilie, ndio maana wanawake wengi hawataki kuolewa na broke men mambo ya kupambana kumsaidia mume huku mwenzio anakula na michepuko ambayo haijui uchungu wa hizo pesa ndio wanawake wengi hawayataki
huyu posts zake zote chai,Dooh kweli kuwa mke wa ndoa nako siku hizi hakuna thamani, yani siku zote ukikwama mkeo anakusaidia ila wewe unahangaika na michepuko isiyokusaidia halafu ukifirisika hiyo michepuko inakuacha kisha mkeo ndio anatakiwa akuvumilie, ndio maana wanawake wengi hawataki kuolewa na broke men mambo ya kupambana kumsaidia mume huku mwenzio anakula na michepuko ambayo haijui uchungu wa hizo pesa ndio wanawake wengi hawayataki
Umeoa lini wewe mr mapenzi.Nipo mkoa wa huku kusini kwenye harakati zangu za utafutaji,nikaingia mtaa mmoja wa nyama choma; ile harufu ya nyama ikaufadhaisha mwili wangu, kuangalia mfukoni nina elfu tano tu, na kwenye simu sina salio lingine.
Wazo likanijia nimpigie simu mama k; ile kupokea simu tukaanza kujuliana hali, nikamwambia hapa nilipo nimepita mtaa x nimekutana na harufu ya nyama choma, naomba uniwezeshe salio, langu halisomi.
Akasema subiri, baada ya dakika tatu ikaingia salio la kuniwezesha kula na kunywa, akanipigia na kuniambia, kesho nitakuwa vizuri zaidi nitakutumia fungu kubwa.
Nikaishiwa nguvu, na kuanza kujiuliza kwa nini naangaika na michepuko inayokula hela zangu tu na hainisaidii; kweli mke wangu ametoka kwa bwana.
Michepuko siitaki tena; wkend itabidi nimpeleke mbugani akaangalie wale ndege jamii ya kongoni ambao hawaachani mpaka wanapokufa, na akifa mmoja wapo yule aliyebaki anabaki hivyo hivyo mpaka mwisho wake.
Kama mkeo au mpenzi wako wa kike hakutumii hela, huyo hajatoka kwa bwana, bali ametoka kwa shetani.
Nipo mkoa wa huku kusini kwenye harakati zangu za utafutaji,nikaingia mtaa mmoja wa nyama choma; ile harufu ya nyama ikaufadhaisha mwili wangu, kuangalia mfukoni nina elfu tano tu, na kwenye simu sina salio lingine.
Wazo likanijia nimpigie simu mama k; ile kupokea simu tukaanza kujuliana hali, nikamwambia hapa nilipo nimepita mtaa x nimekutana na harufu ya nyama choma, naomba uniwezeshe salio, langu halisomi.
Akasema subiri, baada ya dakika tatu ikaingia salio la kuniwezesha kula na kunywa, akanipigia na kuniambia, kesho nitakuwa vizuri zaidi nitakutumia fungu kubwa.
Nikaishiwa nguvu, na kuanza kujiuliza kwa nini naangaika na michepuko inayokula hela zangu tu na hainisaidii; kweli mke wangu ametoka kwa bwana.
Michepuko siitaki tena; wkend itabidi nimpeleke mbugani akaangalie wale ndege jamii ya kongoni ambao hawaachani mpaka wanapokufa, na akifa mmoja wapo yule aliyebaki anabaki hivyo hivyo mpaka mwisho wake.
Kama mkeo au mpenzi wako wa kike hakutumii hela, huyo hajatoka kwa bwana, bali ametoka kwa shetani.
Kweli kabisa katoka kwa bwana ndo maana alikuja kwako bila bikra.Wanasema mke mwema hutoka kwa bwana
Huyu jamaa wetu muongo muongo.Dooh kweli kuwa mke wa ndoa nako siku hizi hakuna thamani, yani siku zote ukikwama mkeo anakusaidia ila wewe unahangaika na michepuko isiyokusaidia halafu ukifirisika hiyo michepuko inakuacha kisha mkeo ndio anatakiwa akuvumilie, ndio maana wanawake wengi hawataki kuolewa na broke men mambo ya kupambana kumsaidia mume huku mwenzio anakula na michepuko ambayo haijui uchungu wa hizo pesa ndio wanawake wengi hawayataki
Inabidi kuishi nao kwa akiliSisi tulioa wanawake tukabeba mizigo ya ukoo wao wote, unasomesha mashemeji unahudumia ukweni, siku mkigombana kidogo tu utasikia "umewahi kunisaidia Nini Kila kitu unapeleka kwenu tu". Hawa wanawake bana😃😃