Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

wewe nae ni kilaza mwenzie!! we kama unamfahau mkeo ni mbululu ulitakiwa umpe desa alimeze akifika kwenye interview akateme tuu,,,, ona sasa unanyimwa utamu shaur yakoj
 
cyo vzurI kuletA mambO ya familia humU jukwaanI maanA naonA mmemchanA hadI marks zake alizopatA
 
Hata wakifanya marudio ya interview watu watafeli kama kawaida
 
Duh, ushaoa kiazi. Na uombe Mungu watoto warithi akili zako. Wakirithi kwa mama yao (mkeo) umeliwa. Uandae hela ya kusomesha tuition na shule za private... Na hela ya bumu uandae wakifika chuo...
 
aisee msicheke hii elimu imeharibika, kuna mdada kahitimu chuo maarufu huko kati mwez uliopita nilipata job sehem nikamwomba sivii yake, nilitamani kulia cv ina jina lake, la ukoo, shule alizospma, na amwani kamaliza...
tuache ushabiki wa kuharibu elimu kuna vyuo vinazalisha matap tap
 
kapata zero kakununia na wewe unababaika....kweli nawe walewale
 
Haya tazama uozo huu.

Kwa watu kama hawa wanaogawana nafasi za kazi mnategemea kuwa na maendeleo Tanzania hii?
 
Mbona haukumpa mtihani nyumbani kabla ya siku yenyewe?
Watu wanafanya hivyo kwa vilaza... (hii niisikia mahali..huwa wanawapa watu watakaofanya interview maswali)
 
Kama haelewi mwambie boss wako amwite akamwonyeshe marks zake huko huko ofisini.
Kwani na wewe unapokaa naye hukujuwa kuwa humo kichwani hamna kitu?
 
Ni kosa kubwa kuingiza personal interest ktk kazi za umma, haishangazi tumefika hapa kama Taifa.
 
nadhani si busara kumchukulia mke wako kama hana akili, yawezekana amefanya makusudi kupata sifuri ili akuone utafanya nini au utatumia busara gani kuongea nae, tafuta kwanza njia mbadala kama mume, ya kuongea nae ili kuweza kuikabili hisia yake maana ni wewe pekee ndo unafahamu uzur na mapungufu yake
 
wewe nawe ulikuwa hutaki kufanya naye kazi ofis moja, ungekuwa na nia ungempa maswali kabla ya intavyuu
 
Hizi ndo hadithi za kwenye kahawa ambazo mimi huwa sizitakagi.
Wajumbe wa UKAWA hivi ni wapi siku hizi mumeona watu wanaitwa kufanya tu usaili wa mtihanin wa kuandika tu halafu anaitwa kazini, bila hata ya kufanya usaili wa mahojiano (Oral)

Wewe umesema ni afisa utumishi, je hukuuona huo mtihani kabla? ili umpe mkeo majibu ya huo mitihani?
Nani alitunga huo mithani, na kama alitunga mtu mwingine kwanini wewe ulipewa usahihishe?
Je hujui uwezo wa mkeo kichwani hasa kwenye masuala ya darasani?

Binafsi naona naona umekuja na hadithi ya kwenye kahawa ili kufurahisha kijiwe tu! Haya watu wamecheka, furahi basi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…