Mke wangu akirithi tabia ya mama yake, tutashindwana

Mke wangu akirithi tabia ya mama yake, tutashindwana

Mkuu nahisi atakuwa kamwambia yote hasa uchawi,sijui itakuwaje usiku!!!siraha anayoweza kuitumia itakuwa uchawi
 
Na leo leo naenda kusema kwa mke wangu(mama mkwe wako),,yaani sie tunakupenda na tumekupa binti yetu kiroho safi halaf wewe leo unakuja kutusema humu kuwa eti mke wangu ni mchawi?..na leo ucku anaanza kutest rasmi uchawi wake kwako ....pumbavu
 
Kama bibi yake ni mchawi, mama yake ni mchawi basi na mkeo ni mchawi. Ukitaka kumshika hakikisha siku ulale umeoga chumvi ya mawe na kwenye mto weka majani au mzizi wa komamanga itamshika mchana kweupe
 
Kama bibi yake ni mchawi, mama yake ni mchawi basi na mkeo ni mchawi. Ukitaka kumshika hakikisha siku ulale umeoga chumvi ya mawe na kwenye mto weka majani au mzizi wa komamanga itamshika mchana kweupe
Duuuuh kweli ee
 
Bas ata ww hapo mke wako wenda kaisha kuloga ndio maana huzioni hizo tabia kwake.

Joke.


Ila kiukwel ni lazma umuombe Mungu sana akusaidie mkeo asizifate na penda kumsisitizia juu ya mambo usiyo yapenda
 
Mchane live Kwamba ukimgundua ana uchawi ata kama ana miaka 40 ataondoka kwako uoe kigoli.... japokua ni lazima arithishwe uchawi hata ufanyaje[emoji23][emoji23]
 
Oops! Ushanasa bro, hapo simu ishafika kwa mama kuwa dawa imeanza pungua makali aongezee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiih JF khaaaah
 
Kama bibi yake ni mchawi, mama yake ni mchawi basi na mkeo ni mchawi. Ukitaka kumshika hakikisha siku ulale umeoga chumvi ya mawe na kwenye mto weka majani au mzizi wa komamanga itamshika mchana kweupe
Ushasema usiku afanye hivyo, afu atamkamata mchan kweupeeeeeh? Kweli lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na wewe iga tabia za baba yake yaani baba mkwe wako.Kama ali survive na kumlea binti akawa mkeo na wewe uta survive.Kila la kheri Kupanga ni kuchagua.
 
Back
Top Bottom