Mke wa Rais wa awamu ya nne, Mama Salma Kikwete amshukuru Rais Magufuli kumteua kuwa mbunge

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Baada ya kupewa muda kuwasalimia wananchi kwenye Uwanja wa Michezo wa Mjini Lindi, Ilulu leo tarehe 3 Machi 2017; Pamoja na mambo mengine Mama Salma Kikwete amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli kwa kumteua kuwa Mbunge. Kwamba, tukio alilofanya Rais tarehe 1 Machi 2017 kwa kumteua kuwa mbunge limempa heshima kwake na mkoa wa Lindi kwa ujumla.

Nawasilisha
 
Kama Chawema wanavyoendelea kuinajisi mahakama kwa kufanya siasa, leo kila mwenye kanafasi kake kaenda kuonekana mahakamani kwenye kesi ya lema baada ya kumtelekeza kwa miezi minne!
Huwa najisikia kichefuchefu ninapoambiwa kuwa ccm ni chama cha wanyonge,huwa nafikiria kuwa afadhari wangesema ccm ni chama cha viongozi na familia zao inatosha na tutawaelewa.
 
Duniani kuna mambo!! MTU anakufa kifikra halafu anajifufua baada ya kupata kashfa? Baada ya ishu ya BASHITE kuibuliwa Chabruma umerudi ghafla, ,!!!
 
Hawa majamaa wapo tayari kufanya kila aina ya maigizo ili upepo wa kukomalia vyeti vya BASHITE upite lakini wapi. All in all Kamanda is back......hapa issue ya Bashizoooo ikiendelezwa tunaweza shangaa Saa 8 akaonekana.
 
Ukawa matumbo joto;
flora 046.png
 
Back
Top Bottom