Mke wa rafiki yangu

Duh maskini dada wa watu! Ajali haina kinga sijui ni tamaa ya pesa au nini!?
Si pesa ni familia iliyobarikiwa mno..Mbali na pesa ya mme wake na yeye alikuwa ana kazi iliyokuwa inamlipa ela ndefu sana na hii aliyoipata nasikia analipwa vizuri mno...Labda alishindwa ku-control hisia zake za ngono...Ama ni kama kulipiza kisasi kwa jamaa...Sijui nini
 
khaaa! unasubiri nini asee, unafikiri ni DENGUE hiyo?
mwambie jamaa mkewe sasahivi papuchi yake ina virus kama laki kwaio akimgegeda tu ajue atakwaa kama buku! fanya haraka kabla hajamgegeda!
Duu hiyo ni hatare mkuu...mjulishe jamaa haraka..
Lazima nimweleze jamaa..Nimedhamiria..
 
Unachelewa kumtonya jamaa....na ukishamtonya tupe fdback
 
Akimwambia kuwa akapime bila kumwambia kuwa mke wake anatembea na mtu mwenye ngoma hasara yake ni kuwa jamaa naweza asitilie maanane na kuacha kwenda kupima!!!
 
Akimwambia kuwa akapime bila kumwambia kuwa mke wake anatembea na mtu mwenye ngoma hasara yake ni kuwa jamaa naweza asitilie maanane na kuacha kwenda kupima!!!
jamani sasa itakuwaje basi amwambie ukweli tu
 
Mmmhhmmm.... This is something else... Kwa kweli sheria ipitishwe for the people like huyu Kaka...Duuh.,.Thanks...
 
Sina maneno mengi sina, ila hongera kwa uamuzi huo! Mueleze haraka sana
 
hivi kwann usianze kwanza na kumshauri mke wa rafiki yako?
mwambie huyo bibie kwamba anayetoka naye ameumia, ili sasa ajipime kwanza yeye.
For what I know kuhusu some women.. Huyo mke akifuatwa na huyu kaka kuambiwa ukweli , anaweza kwenda kumuambia mumewe rafiki yake amemmtongoza na alitaka alale nae.. Some women are very complicate hawapendi kusikia ukweli..mwishowe atachonganisha urafiki wao na mume kuishia kupata HIV... Some women are snake very snake ... Acha shetani atutumie.. I think kama ni rafiki WA kweli , amfuate rafiki yake with evidence na umuambie ukweli then huyo mume achague ... Akiaamua kuwa na mkewe bila kupima shauri yake ... But the truth been told .... Thanks ..
 
Unachoweza kufanya mwandikie barua halafu post. Mueleze kila unalojua na ushauri wa kupima kama ataamua kuendelea naye. Unaweza kumpa hints jinsi anavyoweza kujiridhisha na unayosema. Mwisho usiweke jina lako na umwambie umeshindwa jinsi ya kum face.
 
mleta mada, kabla ya kumtonya rafiki yako, nakushauri ungeenda kwanza kupima afya yako. unaweza kuwa bize na afya za watu kumbe yako pia inamgogoro.
Kwahiyo kama ni HIV+ basi asiweze kuwasaidia wengine? Unaonekana ukipata janga fulani huwezi kuelekeza wengine wasipite hapo...hiyo ndo maana yake.
 
Duh maskini dada wa watu! Ajali haina kinga sijui ni tamaa ya pesa au nini!?
Ana kisasi akifikiri anamkomoa jamaa wake.Atakuwa aliumizwa.Jamaa anajirudi na ashachelewa tayari,,na ndoa ikiwa ya kikristo ni Kisiki.Huyo jamaa asiambiwe face to face atumiwe sms,,kama Inawezekana picha Watsup bibie akiwa na jamaa mara mbili au tatu zinatosha.
 
Kama unaweza kumyahadharisha tu ili yeye ajiongeze itakuwa vizuri lakini kama unaona hatachukulia kwa uzito basi mwandikie ujumbe kwa line mpya maelezo ya kumtia mashaka ili ayashughulikie.
 
Mchane mshkaji.....mwambie tu....ila mwambie kama story ilivyo...no less no more
 
hakika msela ikija kupata ukimwi hutakua na faida ya kuendelea kuishi
KUMBUKA:hatma ya mtu asiye na hatia ipo mikononi mwako.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…