bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
Kuonyesha kuwa Amina kweli alikuwa na upendo wa kweli basi waendelee na mapenzi hapo ndiyo ntajua kama Amina alikuwa na mapenzi ya kweli kwa huyo kipofu.By the way kusema ukweli huyo polisi alikuwa very smart maana angekuwa mtu mwingine angechoma sindano ya kuua kabisa ama anamwagia tindikali kabisa
" Polisi huyo alikuwa akinifuata mara kwa mara na kuniambia kuwa niachane na mwanamke huyo, lakini kwangi ilikuwa ngumu kwa sababu tulipendana sana " alisema kijana huyo.