Waheshima, ndugu wana jukwaa wa jamiiforums naomba msaada kwenu. "Kuna taarifa zimezagaa kuwa JK ana mke wa pili aliyemuao wakati wa kampeni 2005. isitoshe mke huyo ni Muajemi (inarahisishwa kuwa ni Mwarabu) kwani ni dadaye Rostam Aziz."
Pia inadaiwa ndio maana JK hana ubavu wa kumueleza lolote RA pamoja na tuhuma zote zinazomuhusu ambazo ni kubwa kuliko za Yona na Mramba.
Narudia tena naombeni msaada wa kueleweshwa kuhusu hili.
Kwa mtazamo wangu, RAIS anatakiwa kuwa katika wazalendo wa kweli katika nchi, hvy hoja iko juu ya uraia wa mke. Hoja ya pili ni uhusiano wa RA na mke wa RAIS.