Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,595
- 2,069
Mwemwemweeeee!!! Kwa mashehe kukuroga?Alikuwa akinisumbua sana na nikahisi anaenda kwa mashehe kuniroga ndio mmoja wa wazee wangu akanishauri kuwa nenda kamuwahi.
Nikaenda nikashindilia vata akawa mpole na analea watoto wake bila bughuza.
Nimeamini kuwa bila kuwaroga wanakuroga.