Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
Baba yangu aliwahi nambia, usije thubutu kumuacha mkeo kwa sababu zako binafsi, ukaoa mke mwingine na usije thubutu kumuongezea mkeo mke wa pili.
Kiukweli wakuu, kama mtatoa muda wa kutafakari sanaaaa baadhi ya vifo vya wanaume wengi hapa duniani hususani tanzania yetu, vifo vingi sana vya wanaume walofanikiwa kimaisha kisha wakaamua kumuacha mke walosota naye kutafuta maisha na kuoa mwanamke mwingine, au kuongeza mke wa pili.
Basi siku mwanaume huyu akifa, kama sio kifo cha haki, basi kuna uwezekano mkubwa wa mke wa pili kuhusika na kifo hicho.
Kwanini mke wa pili? Kwa sababu anakuwa hana uchungu na wewe, mara nyingi wanaolewa kwa sababu hasa hasa za kimaisha yaaan hakupendi isipokua hamna namna.
Kiukweli kabisa, ukiachana na masuala ya kidini, hamna mwanamke anayependa kua mke wa pili, kila mwanamke anataman ammiliki mumewe yeye mwenyewe kwa kua wameumbwa na moyo ulojawa na wivu.
Ukikuta anataman kua mke wa pili, basi anakua kuna kitu kilichombana kiasi kwamba anaona "nipo tayari "kubadili" dini, nipo tayar kua "hata" mkeo wapili" (na huyu ukishindwa kumuoa, utasikia anasema "nizalishe basi niwe na mtoto wako"
Tena bora ya hawa ambao toka wanazaliwa dini inawafunza kua mke wa pili, au watatu au wanne. Lakini hawa wengine ukishamuoa au kumfanya mchepuko, atataka sasa aingilie mpaka ya ndani mpaka mgombane na mkeo mkubwa n.k n.k
Embu fanyeni utafiti, angalieni vifo vyenye ukakasi, ukakasi huo ulitokana na nani?
Kiukweli wakuu, kama mtatoa muda wa kutafakari sanaaaa baadhi ya vifo vya wanaume wengi hapa duniani hususani tanzania yetu, vifo vingi sana vya wanaume walofanikiwa kimaisha kisha wakaamua kumuacha mke walosota naye kutafuta maisha na kuoa mwanamke mwingine, au kuongeza mke wa pili.
Basi siku mwanaume huyu akifa, kama sio kifo cha haki, basi kuna uwezekano mkubwa wa mke wa pili kuhusika na kifo hicho.
Kwanini mke wa pili? Kwa sababu anakuwa hana uchungu na wewe, mara nyingi wanaolewa kwa sababu hasa hasa za kimaisha yaaan hakupendi isipokua hamna namna.
Kiukweli kabisa, ukiachana na masuala ya kidini, hamna mwanamke anayependa kua mke wa pili, kila mwanamke anataman ammiliki mumewe yeye mwenyewe kwa kua wameumbwa na moyo ulojawa na wivu.
Ukikuta anataman kua mke wa pili, basi anakua kuna kitu kilichombana kiasi kwamba anaona "nipo tayari "kubadili" dini, nipo tayar kua "hata" mkeo wapili" (na huyu ukishindwa kumuoa, utasikia anasema "nizalishe basi niwe na mtoto wako"
Tena bora ya hawa ambao toka wanazaliwa dini inawafunza kua mke wa pili, au watatu au wanne. Lakini hawa wengine ukishamuoa au kumfanya mchepuko, atataka sasa aingilie mpaka ya ndani mpaka mgombane na mkeo mkubwa n.k n.k
Embu fanyeni utafiti, angalieni vifo vyenye ukakasi, ukakasi huo ulitokana na nani?