Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
huo msemo sina uhakika nao,kwa mifano yangu mimi,wapo waliooa mke wa 2,maisha yakawaendea vyema kuliko mwanzo,na wapo waliooa mke wa 2,maisha yakawaendea vibaya.kwa hiyo ni mchanganyiko.na huku niliko,talaka kila kukicha na kama sio talaka basi watu wanaongeza wake wa 2,na wengi waliofanya hivyo,kimaisha sijawaona kutatareka,wengi ni hard work na maisha yao ni mazuri tu.ila kwa mfano wangu wa karibu,my father aliongeza mke na akatutelekeza kabisa,mama yetu alikuwa single mum kwa miaka yake karibu yote.kwa sasa baba yupoyupo tu,na huyo mke wake,yeye ana kipato kizuri kabisa,hataki kumuona baba tena.na kwa upande wa mama yetu,mambo yake sio mabaya.
Hapo tunakwenda sawa ni ukweli hata na mimi nakubaliana na hilo kumuacha mke wa kwanza huleta shida sana