Asanteni wanaJAMVI kwa ushauri wenu wa hapa na pale, hata kwenu ninyi mliokejeli asanteni kwa sababu mlichangamsha JAMVI. Leo hii nimeamua kubadili namba zangu za simu kumwepuka huyu "dada" ambaye ni mke wa mtu kwa vitimbi vyake vya sms hatarishi.
Jana jioni nilijikakamua nikamwandikia sms ya ku'apologize' then nikamwambia aachane na mambo ya ndoto kwani ndoto sio za ukweli..
Akanijibu kwa kirefu kabisa: "UTAKUA LINI MDOGO WANGU, UNAFIKIRI KUKUAMBIA NDOTO NI LAZIMA IWE NDOTO KWELI AU NI NJIA YA KUFIKISHA UJUMBE?.. NIMECHOKA KUVUMILIA NDIO MAANA NIKATUMIA TRICK HIYO, NAOMBA UFUNGUKE UNIELEWE PLIZ"..
Hapo ndipo nikajua ukubwa jalala!..
...
Nilimpigia na kumwambia LIVE mimi na yeye mazoea basi, nipo tayari kwa lolote! Sihitaji kampan inayohatarisha maisha yangu. Isitoshe fiancèe wangu anamfaham na wanaheshimiana.
...
Baada ya mazungumzo nilikata sim na kuiharibu ile sim card, nikachukua line nyingine na nimeshasajili.
...
Nawaza jinsi ya kumwambia my fiancèe coz nilivyomwambia nimebadili namba zangu za simu, amekuja juu ile mbaya.
...
Sitaki nimuumize mpenzi wangu na sitaki awe na hisia mbaya juu yangu.
...
WanaJAMVI kwa mara nyingine naomba msaada wenu wa mawazo na ushauri. MSINICHOKE.
...
Mchana mwema.
...
SI unit
Jana jioni nilijikakamua nikamwandikia sms ya ku'apologize' then nikamwambia aachane na mambo ya ndoto kwani ndoto sio za ukweli..
Akanijibu kwa kirefu kabisa: "UTAKUA LINI MDOGO WANGU, UNAFIKIRI KUKUAMBIA NDOTO NI LAZIMA IWE NDOTO KWELI AU NI NJIA YA KUFIKISHA UJUMBE?.. NIMECHOKA KUVUMILIA NDIO MAANA NIKATUMIA TRICK HIYO, NAOMBA UFUNGUKE UNIELEWE PLIZ"..
Hapo ndipo nikajua ukubwa jalala!..
...
Nilimpigia na kumwambia LIVE mimi na yeye mazoea basi, nipo tayari kwa lolote! Sihitaji kampan inayohatarisha maisha yangu. Isitoshe fiancèe wangu anamfaham na wanaheshimiana.
...
Baada ya mazungumzo nilikata sim na kuiharibu ile sim card, nikachukua line nyingine na nimeshasajili.
...
Nawaza jinsi ya kumwambia my fiancèe coz nilivyomwambia nimebadili namba zangu za simu, amekuja juu ile mbaya.
...
Sitaki nimuumize mpenzi wangu na sitaki awe na hisia mbaya juu yangu.
...
WanaJAMVI kwa mara nyingine naomba msaada wenu wa mawazo na ushauri. MSINICHOKE.
...
Mchana mwema.
...
SI unit