Mke wa mpangaji mwenzangu

Mke wa mpangaji mwenzangu

astranaut

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2018
Posts
1,276
Reaction score
1,024
Mimi ni kijana ambae sijaoa na nimepanga chumba ambapo hapo napoishi anakaa jamaa fluani mwenye mke na mtoto mmoja.

Mimi na jamaa wote tunashinda kwenye mishe zetu bt inatokeaga muda mwingne mchana naenda nyumbani coz ni karibu na kazini kwangu.

Kimbembe kinakuja pale napokua natoka zangu ndani kwangu aidha naingia uani au bafuni kuoga sababu jamaa chumba chake kiko karibu na choo*bafu na kina dirisha upande huo unakuta shemeji huyo(mkewe jamaa)amelala ndani kwake amevaa chupi tu halafu kapandisha pazia kila kitu wazi wazi hivyo basi nashindwa kumuelewa jirani huyo anamaana gani.

Ukizingatia hapo nyuma huyo mkewe jamaa alikua akiniwekea mitego ya kukaa vibaya nikamwambia akapunguza bt saivi simuelewi kabisa.

Ananizingua ukizingatia mimi bado bachelor na nawaheshimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tabia ya kuchungulia vyumba vya watu. Akiwa chumbani kwake yuko huru kukaa na chupi au hata kuwa uchi.

Mimi ni kijana ambae sijaoa na nimepanga chumba ambapo hapo napoishi anakaa jamaa fluani mwenye mke na mtoto mmoja.Mimi na jamaa wote tunashinda kwenye mishe zetu bt inatokeaga muda mwingne mchana naenda nymban coz ni karibu na kazini kwangu.
Kimbembe kinakuja pale napokua natoka zangu ndani kwangu aidha naingia uani au bafuni kuoga sababu jamaa chumba chake kiko karibu na choo*bafu na kina dirisha upande huo unakuta shemeji huyo(mkewe jamaa)amelala ndani kwake amevaa chupi tu halafu kapandisha pazia kila ktu wazi wazi hivyo basi nashindwa kumuelewa jirani huyo anamaana gani.Ukizingatia hapo nyuma huyo mkewe jamaa alikua akiniwekea mitego ya kukaa vibaya nikamwambia akapunguza bt saivi simuelewi kabisa.
Ananizingua ukizingatia mm bado bachelor na nawaheshimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni kijana ambae sijaoa na nimepanga chumba ambapo hapo napoishi anakaa jamaa fluani mwenye mke na mtoto mmoja.Mimi na jamaa wote tunashinda kwenye mishe zetu bt inatokeaga muda mwingne mchana naenda nymban coz ni karibu na kazini kwangu.
Kimbembe kinakuja pale napokua natoka zangu ndani kwangu aidha naingia uani au bafuni kuoga sababu jamaa chumba chake kiko karibu na choo*bafu na kina dirisha upande huo unakuta shemeji huyo(mkewe jamaa)amelala ndani kwake amevaa chupi tu halafu kapandisha pazia kila ktu wazi wazi hivyo basi nashindwa kumuelewa jirani huyo anamaana gani.Ukizingatia hapo nyuma huyo mkewe jamaa alikua akiniwekea mitego ya kukaa vibaya nikamwambia akapunguza bt saivi simuelewi kabisa.
Ananizingua ukizingatia mm bado bachelor na nawaheshimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
We na mchumba wako ni mazuzuz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom